Amaizing Mimi
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 489
- 1,102
Habari za muda huu wanajukwaa.
Moja kwa moja naomba niende kwenye mada. Katika mradi wa SGR katika kituo cha Fela katika wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza, kumekuwa na tabia ya mafomeni kupokea rushwa ili kuwapa kazi watu ambao wapo nje ya kampuni.
Kitendo hicho kimepelekea watu kufukuzwa kazi kila kukicha ili kuwapa kazi watu wanaotoa hela. Mafomeni wanaoongoza ni masai na mtanga. Mafomeni hawa ni wa kampuni ya CCECC.
Kila siku watu wanapunguzwa bika sababu za msingi na hawalipwi stahiki zao.Tunaomba mamlaka zinazohusika kuingilia kayi ili kutunusuru maana hali imekuwa mbaya sana.
Moja kwa moja naomba niende kwenye mada. Katika mradi wa SGR katika kituo cha Fela katika wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza, kumekuwa na tabia ya mafomeni kupokea rushwa ili kuwapa kazi watu ambao wapo nje ya kampuni.
Kitendo hicho kimepelekea watu kufukuzwa kazi kila kukicha ili kuwapa kazi watu wanaotoa hela. Mafomeni wanaoongoza ni masai na mtanga. Mafomeni hawa ni wa kampuni ya CCECC.
Kila siku watu wanapunguzwa bika sababu za msingi na hawalipwi stahiki zao.Tunaomba mamlaka zinazohusika kuingilia kayi ili kutunusuru maana hali imekuwa mbaya sana.