RUSHWAAAA::La muamala wa yanga wa milioni 3 limekaaje?TAKUKURU MKO WAPI JAMANI?

RUSHWAAAA::La muamala wa yanga wa milioni 3 limekaaje?TAKUKURU MKO WAPI JAMANI?

matokeo halali ni 1-1 goal halali lilikataliwa,imagine ingekuwa ni simba vs azam goal likakataliwa pangewaka moto leo mtandaoni zahera angepiga simu hadi makao makuu ya Caf
piga wewe fifa maana kuna mwaka mlipeleka barua ya kudai kombe fifa. Safari hii pigeni simu. Alafu kile kihoja chenu cha kitoto cha kubadilishiwa waamuzi caf kiliishia wapi???
 
Hawajambo wale waamuzi waliowabeba kimatokeo dhidi ya KMC FC na kufungiwa na TFF[emoji848][emoji28]
matokeo halali ni 1-1 goal halali lilikataliwa,imagine ingekuwa ni simba vs azam goal likakataliwa pangewaka moto leo mtandaoni zahera angepiga simu hadi makao makuu ya Caf
 
Na leo yamebebwa tena kwa mchina baada ya kucheza hadi dakika ya 97 simba wakapata goli afu dakika ya 98 mpira ukamalizwa na Refa.
Nakukumbusha Matokeo ya Azam na Young Africans SC, Mpira ulimzalika kwa Azam FC kufungwa 1-0 , goli la Mrisho Ngassa dakika ya 13. Utapata ujira wako kwa kuendeleza majungu!
 
Back
Top Bottom