Russia confirms "BRICS" will launch Gold-Backed currency

This is burrying your head in the sand,there is simply no way uchumi ambao ni backed by Fiat Currency unaweza kushindana na uchumi ambao it's currency is backed by Gold mkuu.Mawazo yako yamejengwa kwenye misinformation inayotokana na Western propaganda and lies.Tusubiri,ila mawazo yako yata-crumble right in front of your eyes very soon like a block of ice.

Kumbuka kwamba mawazo ya BRICS yalikuwa unthinkable only a few years ago.
 
Go to hell you conspiracist.
 
Hata yakawa thinkbale kwa sasa ni wazo ambalo limechelewa sana, soko limeshawahiwa kitambo sana na investment ya $ na Euro, hakuna tajiri atakaelekea kwenye umoja usio na uhakika kwenye biashara, hao south Africa kwanza waondoe mgao wa umeme kwenye nchi ndio waweze kuja kutoa mchango wa kuendesha ulimwengu kwa Gold-Backed currency.,
 
Mawazo ya Gaddafi yanawadia sasa
Halafu sisi masikini tunaochimba dhahabu kama viazi wala thamani hatuijui
Gold reserves yetu hovyo naona hata 500 metric tons hatuna
Bot wwpo kw jili ya matumbo yao
 
Those are only assumptions, nothing like that will happen that will threaten the US dollar hegemony as there is no alternative to dollar at the moment.
You must be living under the rock, over the years the US dollar has been losing it's hegemony from 90% in 1999 to about 52% in 2022.
 
Reserve yetu ni ndogo kwa sababu ya masharti tuliyopewa zamani walipotuleteaa sera za utandawazi.
Nani alieleta Sera hizo Mkuu
Dunia nzima wana reserves zao na wengine hata machimbo hawana ila wananunua na kuweka

Wapo wanaosaidiana na mataifa mengine kuiba na huku wanajiita wazalendo kina Musukuma

Anaiba na kupitisha 50kg za gold kila wakati ila nashangaa bado anachunga ng'ombe badala ya kuwekeza kwenye bandari [emoji1]
 
Zilikuwa ni sera za restructuring za IMF/WB kwa nchi masikini, zilitulazimisha kupunguza gold reserve, budget ya ulinzi, elimu, afya n.k
Hakuna kuwasikiliza majambazi hayo
M7 anasema eti waliambiwa wasimsaidie Libya na wakakubali kwa woga

Ila sasa naona tumeanza kujielewa
Laiti kama tungewakataa na kufanya yetu tungejitegemea

Ila na sisi ni wajinga, yaani misaada inatufanya tuwe dhalili wakati tuna kila kitu
 
Hakuna kuwasikiliza majambazi hayo
M7 anasema eti waliambiwa wasimsaidie Libya na wakakubali kwa woga

Ila sasa naona tumeanza kujielewa
Laiti kama tungewakataa na kufanya yetu tungejitegemea
Siyo ujinga, duniani hapa ni wild kweli kweli, mkubwa kula mdogo ndiyo mwendo. Museveni mwenyewe ni juzi tuu ndo ameanza kuota mapembe, baada ya Urusi kulianzisha Ukraine, kabla ya hapo alikuwa hana jeuri hiyo.

Hawa viongozi wetu huwa wanatishwa sana, hawasemi tuu hadharani, Magu mpaka aliletewa magaidi kule Mtwara.

Bila ya kuwa na wababe wa kukukingia kifua kama korea kaskazini anayetetewa na Urusi na China huwezi kuwadindishia wakubwa ukabaki salama, mifano hai ni Zimbabwe, Libya na Iraq.
Ila na sisi ni wajinga, yaani misaada inatufanya tuwe dhalili wakati tuna kila kitu
Nchi zetu zinalazimiswa kupokea "misaada" ili tukubali mikopo, bila ya sisi kuchukua mikopo nchi za magharibi zitaanguka kiuchumi.
 
Marekan unazani kwa nini ana Gold reserve kubwa sana? Yeye ni wa pili kama sio wa kwanza
 
Kweli kabisa mkuu
Ila kwa sasa tumejua hata mataifa makubwa ni mafia tu
Wanaiba bila aibu na wanachonganisha haswa

Utaona nchi zinapigana au vita vya ndani, magaidi wa mchongo ili tu wao wafaidi madini na wanachoweza

Ningekuwa Rais ningehakikisha mpaka $ feki naweka machines za kufyatua ili tuende nao sawa

Ingawa naona inawezekana kuna baadhi wanazo who knows
 
NK inasemekana huwa wanazichapisha. Kuna wachambuzi wanadai kihistoria reserve currency huwa haimudu zaidi ya miaka 100 na hii dola yetu teyari imeshafikisha miaka 80 hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…