Russia deploy S 500 air defence all Nato country coverd

Russia deploy S 500 air defence all Nato country coverd

Usidanganye watu hapa we kijana kuna watu wazima.
Shambulio la Iran lilivunja makazi 100 ya Israel,iliharibu kambi baadhi za jeshi ikiwemo Nevatim airbase,iliharibu magari na kubomoa shule.
Shambulio la Israel kwa Iran hadi sasa hakuna significant damage iliyoonekana maana kambi alizolipua ni jengo tu silaha zote ziko chini za Iran.
Pia radar iliyoharibika ni MOJA TU ya Khomeini airport.

Hivyo usidanganye watu kuna watu wazima humu.
Punguza mihemko umeambiwa weka picha na hasara aliyopata Israel punguza maneno mengi kama mudi
 
Punguza mihemko umeambiwa weka picha na hasara aliyopata Israel punguza maneno mengi kama mudi
Picha zilishawekwa sana humu.
Je yeye aliiweka picha au maneno matupu!?
 
Vitu vingine kama huna uelewa navyo ni bora ukaomba hata msaada ukasaidiwa kuliko kuongea usichokijua. Labda nikuulize, kabla wanajeshi wa Korea Kaskazini kwenda Urusi vipi Ukraine alikuwa amekomboa maeneo mangapi yaliyochini ya Urusi kule Ukraine?
Sasa ameomba msaada Pyongyang wa nini kama alikuwa anaendelea vizuri.
 
Back
Top Bottom