Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Ujerumani, Japan ni mataifa ya hovyo sana na kuna South Koreawako kwenye de-industrialization,....
yani wakati flani huwa nawaza na kutambua kwa sasa dunia imekosa viongozi imara, yani germany kaamua kuua uchumi wake ili kumfurahisha US
sijui US ana dirty gani juu ya ulaya, jamaa (US) anapiga pesa balaa huku wao wakiteseka na kuanguka kwa chumi zao! mambo ya ajabu sana haya!
Kuiba nako kunahitaji akili mtu wangu popoma utamuibia nani asishituke?Ingefikia huko kama nao wangeamua pia kuiba rasilimali za nchi masikini
Yeye anaona hiyo ni mpya kumbe wamestiki hapo kwa mda mrefu tu. Jambo zuri kwao ni kuilinda hiyo kutokushukaUSA, western Europe, Canada, Japan, Australia wako above 50000 usd. Wewe unazungumza 14000 usd GNP. Hiyo Russia hupo kitambo Sana. Zaidi ya miaka 20. Kwa ukubwa, resources, technology ya Russia ni aibu kuzungumza juu ya GNP ya 14000. Russia ilitakiwa iwe zaidi ya GNP ya 100000usd
Kwahio Japan nae kampita yuesiei??,, na hao wengine walinufaika mapema na system zao za ukoloni na wakaja kuacha ukoloni mambo leo,,,,,......Kuiba nako kunahitaji akili mtu wangu popoma utamuibia nani asishituke?
Haya nambie Japan anaiba wapi?
Japan si mdogo wake USA kwamba wanaruhusiwa kucopy tech za USA bila vibaliKuiba nako kunahitaji akili mtu wangu popoma utamuibia nani asishituke?
Haya nambie Japan anaiba wapi?
Huyo kazungumzia wanaiba uchumi ni akili na siyo bra bra na ujuaji mwingiJapan si mdogo wake USA kwamba wanaruhusiwa kucopy tech za USA bila vibali
Yeye anaona hiyo ni mpya kumbe wamestiki hapo kwa mda mrefu tu. Jambo zuri kwao ni kuilinda hiyo kutokushuka
Na hapo baada ya vikwazo,,,,anaipita nchi ambayo haina hata vikwazo vyovyote,,tena ni kipenzi cha yuesieiYeye anaona hiyo ni mpya kumbe wamestiki hapo kwa mda mrefu tu. Jambo zuri kwao ni kuilinda hiyo kutokushuka
Na hapo baada ya vikwazo,,,,anaipita nchi ambayo haina hata vikwazo vyovyote,,tena ni kipenzi cha yuesieiView attachment 3033567
Mtu anasupply gas kwako, anakupa mafuta, anatengeneza silaha na kuyauzia mataifa makubwa mengi duniani, yuko na madini mengi tena ya thamani. Its simple tu RU is a big nation, wewe unadhani anaanguka kirahisi tu
Kasome yote ndani ya lunk uliyoileta, kumbe umeleta link ambayo hukuisoma yote ukaishia kwenye taarifa za Russia pekee?Tunaomba ufafanuzi
Halafu kuna.vi inchi vinashindwa kuagiza hata hitaji lao la muhimu kama mafuta eti vinasimamia vikwazo.Wazungu ni wanafiki wanafanya biashara na russia kimya kimya.