kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Warusi wa makambako wakiona kathread ka kuwafarij wanakachangamkia kweli 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana he?!!, Hawa wb Kuna namna tu
View attachment 3032367
Benki ya Dunia imechapisha ripoti ambayo imeidhinisha Urusi kama nchi yenye kipato kikubwa.
Kigezo cha nchi iwe katika kundi la mataifa yenye kipato kikubwa duniani ni pale wastani wa pato la mtu mmoja katika taifa husika liwe kuanzia USD 14,005
Kulingana na ripoti ya WB, mwaka 2023 wastani wa pato la mtu mmoja Russia lilikuwa ni USD 14,250
Kiuchumi huo wastani huitwa Gross National Income Per Capita (GNI Per Capita)
GNI Per Capita= gross national income divided by midyear population
Hatua zilizopigwa na Russia kiuchumi mwaka 2023
Uchumi wa Russia ulikuwa kwa 3.6% Nominal GDP ilikua kwa 10.9% Gross National Income kwa 11.2% Real incomes ilikua kwa 4.5% Nominal wages ilikua kwa 13% GDP PPP ya Russia imepanda kufikia USD 5,733 na kuwa taifa la tano duniani nyuma ya kinara China, Marekani, India na Japan
Je, vikwazo vya kiuchumi ilivyowekewa Russia vimefeli?
CREDIT:World Bank country classifications by income level for 2024-2025
Bila vikwazo wangekuwa mbali zaidiJe, vikwazo vya kiuchumi ilivyowekewa Russia vimefeli?
Na mwafrika wa shit hole country atafaidika vipi?Matajiri hawako tayari kuona dollar domination system inakufa watafilisika. Mrusi anajaribu kupush imposition ya currency mpy ambayo ita kuwa a principle medium of exchange apart from U.S dollar
Mashabiki wengi Pro-Russia ni vilaza sanaUSA, western Europe, Canada, Japan, Australia wako above 50000 usd. Wewe unazungumza 14000 usd GNP. Hiyo Russia hupo kitambo Sana. Zaidi ya miaka 20. Kwa ukubwa, resources, technology ya Russia ni aibu kuzungumza juu ya GNP ya 14000. Russia ilitakiwa iwe zaidi ya GNP ya 100000usd
Ungemalizia tu kwamba, Kwa mujibu wa ripoti hiyo ni West bank na Gaza pekee ndiyo ambazo uchumi wake umeporomoka. Sababu kama ilivyo kwa Russua, Uchumi wa Ukraine pia imepanda kama ripoti inavyosema;
View attachment 3032367
Benki ya Dunia imechapisha ripoti ambayo imeidhinisha Urusi kama nchi yenye kipato kikubwa.
Kigezo cha nchi iwe katika kundi la mataifa yenye kipato kikubwa duniani ni pale wastani wa pato la mtu mmoja katika taifa husika liwe kuanzia USD 14,005
Kulingana na ripoti ya WB, mwaka 2023 wastani wa pato la mtu mmoja Russia lilikuwa ni USD 14,250
Kiuchumi huo wastani huitwa Gross National Income Per Capita (GNI Per Capita)
GNI Per Capita= gross national income divided by midyear population
Hatua zilizopigwa na Russia kiuchumi mwaka 2023
Uchumi wa Russia ulikuwa kwa 3.6% Nominal GDP ilikua kwa 10.9% Gross National Income kwa 11.2% Real incomes ilikua kwa 4.5% Nominal wages ilikua kwa 13% GDP PPP ya Russia imepanda kufikia USD 5,733 na kuwa taifa la tano duniani nyuma ya kinara China, Marekani, India na Japan
Je, vikwazo vya kiuchumi ilivyowekewa Russia vimefeli?
CREDIT:World Bank country classifications by income level for 2024-2025
Bila vikwazo wangekuwa mbali zaidi
Kwa hiyo unajiona una-akili nyingi sana, kisa mnajibishana humu kwa hisia tu...?Kabla ya kuwaita wengine vilaza embu onyesha hizo akili zako zimesaidia nini katika kuisaidia nchi yako na yenyewe iende kwenye high income group?Mashabiki wengi Pro-Russia ni vilaza sana
Ungemalizia tu kwamba, Kwa mujibu wa ripoti hiyo ni West bank na Gaza pekee ndiyo ambazo uchumi wake umeporomoka. Sababu kama ilivyo kwa Russua, Uchumi wa Ukraine pia imepanda kama ripoti inavyosema;
Ukraine too makes a category jump
Along with Algeria, Iran and Mongolia, Ukraine has moved up from the lower-middle-income to the upper-middle-income category this year:
Ukraine’s upward change in classification resulted from a resumption of economic growth in 2023 (real GDP grew 5.3%, following a drop of 28.8% in 2022) along with a continued decline in population, which has fallen more than 15% since the invasion from Russia began, as per the World Bank.
These factors were further amplified by price increases of domestically produced goods and services to result in a large increase in nominal Atlas GNI per capita of 18.5%. While Ukraine’s economy was significantly impaired by Russia’s invasion, real growth in 2023 was driven by construction activity (24.6%), reflecting a sizable increase in investment spending (52.9%) supporting Ukraine’s reconstruction effort in the wake of ongoing destruction, as per the World Bank.
Kwa hiyo shida yako nini? Vp kuhusu tzUSA, western Europe, Canada, Japan, Australia wako above 50000 usd. Wewe unazungumza 14000 usd GNP. Hiyo Russia hupo kitambo Sana. Zaidi ya miaka 20. Kwa ukubwa, resources, technology ya Russia ni aibu kuzungumza juu ya GNP ya 14000. Russia ilitakiwa iwe zaidi ya GNP ya 100000usd
NilichokiandikaUlitaka kumaanisha nini?
Vikwazo Huwa havifanyi kazi Kwa Nchi inayojitegemea na ambayo ni superpower Kijeshi.
View attachment 3032367
Benki ya Dunia imechapisha ripoti ambayo imeidhinisha Urusi kama nchi yenye kipato kikubwa.
Kigezo cha nchi iwe katika kundi la mataifa yenye kipato kikubwa duniani ni pale wastani wa pato la mtu mmoja katika taifa husika liwe kuanzia USD 14,005
Kulingana na ripoti ya WB, mwaka 2023 wastani wa pato la mtu mmoja Russia lilikuwa ni USD 14,250
Kiuchumi huo wastani huitwa Gross National Income Per Capita (GNI Per Capita)
GNI Per Capita= gross national income divided by midyear population
Hatua zilizopigwa na Russia kiuchumi mwaka 2023
Uchumi wa Russia ulikuwa kwa 3.6% Nominal GDP ilikua kwa 10.9% Gross National Income kwa 11.2% Real incomes ilikua kwa 4.5% Nominal wages ilikua kwa 13% GDP PPP ya Russia imepanda kufikia USD 5,733 na kuwa taifa la tano duniani nyuma ya kinara China, Marekani, India na Japan
Je, vikwazo vya kiuchumi ilivyowekewa Russia vimefeli?
CREDIT:World Bank country classifications by income level for 2024-2025
Nilichokiandika
Wameweka vikwazo mwisho wa siku vinawaumiza wenyewe walioviwekaVikwazo Huwa havifanyi kazi Kwa Nchi inayojitegemea na ambayo ni superpower Kijeshi.
Ujerumani upande wa industrial output imeshuka sanaCha ajabu uchumi wa Ulaya ndio uko kwenye zero growth
NAKAZIABila vikwazo wangekuwa mbali zaidi
We jamaa....😅😅
wako kwenye de-industrialization,....Ujerumani upande wa industrial output imeshuka sana