Russia vs Ukraine & wanamgambo pandikizi

Russia vs Ukraine & wanamgambo pandikizi

incinc

Member
Joined
May 23, 2023
Posts
17
Reaction score
24
Naiyona hii vita kuwa kubwa taratibu...baada ya jumatatu kutokea uvamizi mpakani mwa Russia na Ukraine katika jimbo la Belgorod sasa kuna vita mbili Russia anaanza kupambana nazo...vita ivyo ni Russia vs jeshi la Ukraine wakisaidiwa na washirika wa NATO na yapili ni Russia vs wanamgambo wanao jiita kikosi cha kujitolea cha urusi (RDK) kingine ni jeshi la uhuru wa russia (LSR)....kwa mtazamo wangu naona taratibu washilika wa Ukraine wanaanza kuwin kwa kupitia mapandikizi haya tumeona mara nyingi nchi za africa zikiangaika na watu wa namna hiii pia hii formula inaenda kutumika Russia....pasipo kulishulikia ili jambo kiukubwa nadhani urusi itaenda kusumbuka na vita hii ndani ya mipaka yake....kwa njia hiii adui ameanza kuingia na kusumbua ndani ya urusi.
 
Hapo Matakore PUTIN ataanza kulitawanya jeshi lake huku na kule na hapo sasa kichapo atapokea cha kufa mtu . Achana na Wazungu wa Europe na USA watamsumbua sana huyu Matakore PUTIN.
 
Hamna pandikizi hapo,

Jana Russia wametoa ripoti Yao kua wale Ni askali wa Ukraine na wamekutwa na silaha na magari Vita ya kimarekani.

Mkuu utakua uko outdated sn na hizi habari[emoji4]
Sawa je...na Ukraine imesema ni mamruki wa Russia kwaiyo kila mtu anaitaji kuamini maneno yapi?
 
Hapo Matakore PUTIN ataanza kulitawanya jeshi lake huku na kule na hapo sasa kichapo atapokea cha kufa mtu . Achana na Wazungu wa Europe na USA watamsumbua sana huyu Matakore PUTIN.
Hiii vita inapo enda kuisha ni kazi sana putin lazima akeshe macho daily
 
Kwani vita kamili ndo ikoje mkuu?? Mbona hii ndo yenyewe? Mrusi na MyuKreni wanauana, wanaharibiana kila kitu sasa hiyo kamili itakuwa na nini cha pekee?
Ni kweli wanauwana lakini bado nguvu kubwa urusi ajatumia...jeshi kamili na baadhi ya silaha zenye nguvu pia....urusi akisema atumie nguvu yote hii vita...naamini ndani ya wiki anamaliza Ukraine
 
Ni kweli wanauwana lakini bado nguvu kubwa urusi ajatumia...jeshi kamili na baadhi ya silaha zenye nguvu pia....urusi akisema atumie nguvu yote hii vita...naamini ndani ya wiki anamaliza Ukraine
Sasa kama anasubiri -subiri, mbona hapo baadaye si atakuwa amechoka sana au hata pengine watakuwa wameshamlamba kichwa?Wahenga walisema "Hakika Tunaijua jana yetu lakini Hakika hatuijui kesho yetu" Au ndo tuseme jamaa ameshatepeta (wameshamkamatia chini) lakini bado anatoa sauti za vitisho tu?
 
Sasa kama anasubiri -subiri, mbona hapo baadaye si atakuwa amechoka sana au hata pengine watakuwa wameshamlamba kichwa?Wahenga walisema "Hakika Tunaijua jana yetu lakini Hakika hatuijui kesho yetu" Au ndo tuseme jamaa ameshatepeta (wameshamkamatia chini) lakini bado anatoa sauti za vitisho tu?
Matakore PUTIN ameshatepeta chini
 
Hapo Matakore PUTIN ataanza kulitawanya jeshi lake huku na kule na hapo sasa kichapo atapokea cha kufa mtu . Achana na Wazungu wa Europe na USA watamsumbua sana huyu Matakore PUTIN.
Unaongelea wazungu Gani ndugu?
Hawa waliowashindwa Watalaban?
Au Kuna aina mbili za wazungu?

Sikiliza ndugu yangu.
Kuna Kikundi kilitisha sana kiliitwa ISIS,Hawa waliteka miji yote ya Syria walibakisha Allepo na Damasko TU.
Urusi ilipoingilia iliisaidia kurudisha miji yote iliyotekwa na hao wahuni wote wakapotezwa mazima. wakisaidiwa na USA,UK na Fr na wale walioitwa Free Syrian Army.

Hao wahuni na USA UK na Fr walipanga kumuondoa Assad Leo Asad karudishwa Arab league.

Sasa Leo waasi wajitokeze Urusi,unajua kitakachotokea?
 
Sasa kama anasubiri -subiri, mbona hapo baadaye si atakuwa amechoka sana au hata pengine watakuwa wameshamlamba kichwa?Wahenga walisema "Hakika Tunaijua jana yetu lakini Hakika hatuijui kesho yetu" Au ndo tuseme jamaa ameshatepeta (wameshamkamatia chini) lakini bado anatoa sauti za vitisho tu?
Hujui mengi ndugu,unahitaji elimu kubwa sana juu ya hizi mambo.
 
Hapo Matakore PUTIN ataanza kulitawanya jeshi lake huku na kule na hapo sasa kichapo atapokea cha kufa mtu . Achana na Wazungu wa Europe na USA watamsumbua sana huyu Matakore PUTIN.
.
Screenshot_20230314-125829_100821.jpg
 
Hamna pandikizi hapo,

Jana Russia wametoa ripoti Yao kua wale Ni askali wa Ukraine na wamekutwa na silaha na magari Vita ya kimarekani.

Mkuu utakua uko outdated sn na hizi habari[emoji4]
Anzeni kujipa moyo, Prigozhin leo anakitoa askari wake 22,000 takriban wamepoteza maisha, hayo makundi yapo na jana kulitibuka upande mwengine wa Russia,
 
Back
Top Bottom