Kwa hiyo unadhani Russia hawalijui Hilo na kwamba wameshitukizwa...Pole sana NduguHapo Matakore PUTIN ataanza kulitawanya jeshi lake huku na kule na hapo sasa kichapo atapokea cha kufa mtu . Achana na Wazungu wa Europe na USA watamsumbua sana huyu Matakore PUTIN.
Ndio sasa huko urusi makundi yashakuwepo na yanashusha kibano sasa hizo ndaro utamtisha nani, wao wameshatathmini hali halisi ya ku face dikteta putin kuliko wewe ulie na katekno kako huko kwa mtogoleUnaongelea wazungu Gani ndugu?
Hawa waliowashindwa Watalaban?
Au Kuna aina mbili za wazungu?
Sikiliza ndugu yangu.
Kuna Kikundi kilitisha sana kiliitwa ISIS,Hawa waliteka miji yote ya Syria walibakisha Allepo na Damasko TU.
Urusi ilipoingilia iliisaidia kurudisha miji yote iliyotekwa na hao wahuni wote wakapotezwa mazima. wakisaidiwa na USA,UK na Fr na wale walioitwa Free Syrian Army.
Hao wahuni na USA UK na Fr walipanga kumuondoa Assad Leo Asad karudishwa Arab league.
Sasa Leo waasi wajitokeze Urusi,unajua kitakachotokea?
Dah! Pole mzee Putin.Matakore PUTIN ameshatepeta chini
Sawa mkuu.Hujui mengi ndugu,unahitaji elimu kubwa sana juu ya hizi mambo.
Duh...uliwahi kusikia wapi kwamba operations zote huwa zinaenda smoothly?! Eti operation ifanyike bila kuwa na mapungufu?! Huvi unajua kwanini mpaka Sasa Russia anatumia Wagner na Recruits huko vitani?!Uwezi kufanya jambo kwa 100%...kama wangejua mapema sidhani kama ardhi yao ingekanyagwa..kama ni ivyo kuna makosa ya kiutendaji wa ilo eneo yalifanyika
Russia anatumia mamluki kwa sababu karibia askari wake wote waneshachinjwa!Duh...uliwahi kusikia wapi kwamba operations zote huwa zinaenda smoothly?! Eti operation ifanyike bila kuwa na mapungufu?! Huvi unajua kwanini mpaka Sasa Russia anatumia Wagner na Recruits huko vitani?!
Wamekufa maelfu ya wanajeshi wewe unasema vita kamili? Hii ni full scale war.Vita kamili usiombee mana ni chanzo ya vitaa ya dunia
Exactly.Wamekufa maelfu ya wanajeshi wewe unasema vita kamili? Hii ni full scale war.
Silaha gan mrusi hajatumia mpaka sasa ukiacha nyuklia mkuu?Ni kweli wanauwana lakini bado nguvu kubwa urusi ajatumia...jeshi kamili na baadhi ya silaha zenye nguvu pia....urusi akisema atumie nguvu yote hii vita...naamini ndani ya wiki anamaliza Ukraine