Putin hii vita haitamwacha salama kiakili na kiafya.Ila naamini ipo siku Putin ataacha hii vita jinsi anavyopigwa kama sio Taifa kubwa ile kauli yake ya atakaeingilia kati atakiona kipo wapi maana naona USA anatangaza hela alizotuma pamoja na misaada mingine sio Mrusi akiwapiga hao USA na ndugu zake...
Hapa kaz tuu kwenye anga Ukraine siyo maboya ,tafuten mmekosea wap
Russians launch 12 missiles on eastern Ukraine, 9 of them shot down by air defence units
Ukrainska Pravda
Sun, September 11, 2022 at 11:00 PM·1 min read
VALENTYNA ROMANENKO — SUNDAY, 11 SEPTEMBER 2022, 21:44
On the evening of 11 September, Russians launched 11 cruise missiles on eastern Ukraine; 9 of them were shot down by air defence systems.
Source: press service of Air Force Command Skhid (East)
Quote: "On Sunday evening, the enemy launched a missile strike on the Command’s area of responsibility. In total, the enemy has used 11 cruise missiles."
nadhani alichukulia mfano wa utangazwaji wa matokeo ya uchaguzi Tanzania masaa 72 ya uratibu wizi kura ..Vita ya siku tatu mpaka sasa ina miezi 7
Hayo matatu yametua wapi na yameacha uharibifu gani?
Source: RTHana jibu - ila habari za kuaminika Urusi leo kalipua vituo vya kuzalisha umeme na transformers za kusambaza umeme jumla ni zaidi ya 12 ndani ya siku moja, hivi sasa 50% ya Taifa la Ukraine hawana umeme kabisa - wanao sema Ukraine wamefanikiwa kutungua cruise missile 9 za Urusi kati ya zile 12 zilizo rushwa,iweje tena leo facilities zaidi ya 12 nchini Ukraine zilipuliwe na cruise missiles 3 tu - hii inaingia akilini kweli??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni mavi takataka!Hana jibu - ila habari za kuaminika Urusi leo kalipua vituo vya kuzalisha umeme na transformers za kusambaza umeme jumla ni zaidi ya 12 ndani ya siku moja, hivi sasa 50% ya Taifa la Ukraine hawana umeme kabisa - wanao sema Ukraine wamefanikiwa kutungua cruise missile 9 za Urusi kati ya zile 12 zilizo rushwa,iweje tena leo facilities zaidi ya 12 nchini Ukraine zilipuliwe na cruise missiles 3 tu - hii inaingia akilini kweli??
Kifupi ni hawakuweka defense systems uko maana hawakujua ukichaa wake ungemtuma hvyoSource UkraniaPravda!!! Kama ni kweli wamefanikiwa kutungua missiles 9 kati ya 12 zilizo vurumishwa na Urusi iweje leo 50% ya Taifa la Ukraine linakosa umeme ie wapo kwenye giza totoro kabisa baada ya vituo vya kuzalisha umeme na usambazaji zaidi ya 12 kulipuliwa na Cruise missiles za Urusi.
Sasa kama Ukraine wanadai wana uwezo mkubwa wa kutungua missiles za Urusi,je,zilizo lipua vituo na transformers zilipita wapi - ukisikiliza ngonjera za Zelensky na wasaidizi wake ni burudani tosha kabisa.
Lile fashisti punguani sana.Aibu,ubabe mwingi akili kisoda
Kifupi ni hawakuweka defense systems uko maana hawakujua ukichaa wake ungemtuma hvyo
Vita si kitu kizuri, lakini looking back now Urusi iliwahi kumuonya Zelensky mara ngapi na akapuuzia - kachukua Minsk accord kaichana chana na kuitumbukiza kwenye Dust Bin - kisa? Kashauriwa na Biden/America admin. upuuzie Putin na kutowekea maanani concerns za Urusi kuhusu hakikisho la usalama wa Taifa la Urusi - sasa mlitaka Urusi kumbe ifanyeje ili kujihakikishia usalama wake wa kudumu - who can blame Russians/Putin?
Mama etu Mama Samia yupo bright kuliko hata Putin.Kuna hata viongozi wa Africa wamemzidi Akili.
Ha ha ha ha ha ngoja tuone atakujibu niniSource: RTView attachment 2354913
Hayajafanya loloteHayo matatu yametua wapi na yameacha uharibifu gani?
Jipe moyoSource UkraniaPravda!!! Kama ni kweli wamefanikiwa kutungua missiles 9 kati ya 12 zilizo vurumishwa na Urusi iweje leo 50% ya Taifa la Ukraine linakosa umeme ie wapo kwenye giza totoro kabisa baada ya vituo vya kuzalisha umeme na usambazaji zaidi ya 12 kulipuliwa na Cruise missiles za Urusi.
Sasa kama Ukraine wanadai wana uwezo mkubwa wa kutungua missiles za Urusi,je,zilizo lipua vituo na transformers zilipita wapi - ukisikiliza ngonjera za Zelensky na wasaidizi wake ni burudani tosha kabisa.j
Jipe moySource UkraniaPravda!!! Kama ni kweli wamefanikiwa kutungua missiles 9 kati ya 12 zilizo vurumishwa na Urusi iweje leo 50% ya Taifa la Ukraine linakosa umeme ie wapo kwenye giza totoro kabisa baada ya vituo vya kuzalisha umeme na usambazaji zaidi ya 12 kulipuliwa na Cruise missiles za Urusi.
Sasa kama Ukraine wanadai wana uwezo mkubwa wa kutungua missiles za Urusi,je,zilizo lipua vituo na transformers zilipita wapi - ukisikiliza ngonjera za Zelensky na wasaidizi wake ni burudani tosha kabisa.j
Usijitoe ufahamu Putin alikataa had ushaur wa UN. ,papa ndio kabisa aliambiwa asijisumbue,uwe unafuatilia mambo maana had swahiba wake wa France alimkatalia alidhamiria kuichukua UkraineVita si kitu kizuri, lakini looking back now Urusi iliwahi kumuonya Zelensky mara ngapi na akapuuzia - kachukua Minsk accord kaichana chana na kuitumbukiza kwenye Dust Bin - kisa? Kashauriwa na Biden/America admin. upuuzie Putin na kutowekea maanani concerns za Urusi kuhusu hakikisho la usalama wa Taifa la Urusi - sasa mlitaka Urusi kumbe ifanyeje ili kujihakikishia usalama wake wa kudumu - who can blame Russians/Putin?