Russia wamerusha makombora mazito 11 kati ya hayo 9 yamedunguliwa

Russia wamerusha makombora mazito 11 kati ya hayo 9 yamedunguliwa

Ila naamini ipo siku Putin ataacha hii vita jinsi anavyopigwa kama sio Taifa kubwa ile kauli yake ya atakaeingilia kati atakiona kipo wapi maana naona USA anatangaza hela alizotuma pamoja na misaada mingine sio Mrusi akiwapiga hao USA na ndugu zake...
Hilo dubwana USA ndio asiliguse kabisaa, abakie hapo hapo Ukraine na kioperation chake uchwala. Zelensky anaiangalia Crimea sasa
 
Kama ni kweli, basi hii vita imenishangaza sana huku ikinipa tafakuli kuhusu Rwanda......
 
J

Jipe moy

Usijitoe ufahamu Putin alikataa had ushaur wa UN. ,papa ndio kabisa aliambiwa asijisumbue,uwe unafuatilia mambo maana had swahiba wake wa France alimkatalia alidhamiria kuichukua Ukraine

Kwa nini hamtaki kufatilia kiundani kiini cha tatizo la Ukraine, hamtaki kuzungumzia nani alichochea mapinduzi nchini Ukraine na ushahidi upo na alikuwa na lengo gani? Nyie mnakazania blame game tuu "mwanzo mwisho" delibaretly/conveniently avoiding to mention Russians justified concerns about her security which is paramount - hamtaki kuwekea maanani hata maoni ya Papa ambaye ni a truly independent minded person hasiye sukumwa na itikadi za mlengo fulani, je,Rais wa Uturuki alisema nini kuhusu kiini cha mgogoro wa Ukraine?

Viongozi wengi Duniani wanajua ukweli huko wapi, lakini wanakaa kimya sio kwamba ni wajinga. Je,mnajua ni mataifa mangapi yali abstain kupiga kura za kulaani Putin licha ya vitisho na hongo zilizo tembezwa na Taifa fulani kulazimisha matakwa yao ya kisiasa dhidi ya Urusi, lakini waligonga mwamba - bottom line is: people are no fools they know who is the brains behind this scum - wanachonganisha watu/ndugu(Urusi na Ukraine ni kama ndugu tu) halafu wachonganishi wanakaa pembeni wakiangalia ndugu wakiuwana kijinga wanacho taka wao, kwanza: ni kuuza silaha kunufahisha wamiliki wa viwanda vya kuuza silaha (Military Industrial Complex) kwa wenzetu MIC ni kama a Govt within a Govt wana nguvu na ushawishi mkubwa Serikalini,la pili ambalo actually ndilo lingepaswa kuwa la kwanza: ni kwamba toka siku nyingi US ilitamani/panga kuitumia Ukraine kutimiza malengo yao ya siku nyingi ya kuisambalatisha Urusi(kiuchumi na kuidhoofisha kijeshi) making sure Russia will never rise again kuwa tiishio la genge la Anglo-Saxon, swali la kujiuliza hapa kwani nini NATO na in particular USA inataka kuitumia Ukraine katika malengo yake ya kutaka kihujumu Urusi, jibu ni simple: Ukraine ndiyo taifa pekee Ulaya lenye wanajeshi wengi, zana za kivita nyingi na population kubwa, Ukraine ndilo Taifa kubwa kieneo barani Ulaya save Urusi, sasa kutoka na Ukraine kuwa endowed na mambo mengi makubwa ndio maana USA ilipania kuitumia kwenye malengo yake ya kisiasa dhidi ya Urusi.

Narudia kuwakumbusheni kwa mara nyingine tena kwamba NATO in particular US wako determined kweli kweli hata ikiwa ndio utakuwa mwanzo wa WW3 wao hawajali bado wanajidanganya kwamba thermonuclear war Xchange ni winnable - kwa bahati mbaya bado wapo viongozi wenye akili matope wanao waza ujinga kama huo kutokana na ujeuri wao namajivuno,wana jidanganya kwamba wana hati miliki ya kuitawala Dunia kwa kutumia mbinu chafu mainly - tukisema sisi mnatuchukulia kama ni ma-purveyors wa conspiracy theory. CHEERS.
 
Hana jibu - ila habari za kuaminika Urusi leo kalipua vituo vya kuzalisha umeme na transformers za kusambaza umeme jumla ni zaidi ya 12 ndani ya siku moja, hivi sasa 50% ya Taifa la Ukraine hawana umeme kabisa - wanao sema Ukraine wamefanikiwa kutungua cruise missile 9 za Urusi kati ya zile 12 zilizo rushwa,iweje tena leo facilities zaidi ya 12 nchini Ukraine zilipuliwe na cruise missiles 3 tu - hii inaingia akilini kweli??
Kwahiyo mrusi kavamia Ukraine ili kuharibu transfoma za umeme[emoji38]
 
Hii pro Russia wanaiita maaa siku hiz
1663042432081.png
 
Vita si kitu kizuri, lakini looking back now Urusi iliwahi kumuonya Zelensky mara ngapi na akapuuzia - kachukua Minsk accord kaichana chana na kuitumbukiza kwenye Dust Bin - kisa? Kashauriwa na Biden/America admin. upuuzie Putin na kutowekea maanani concerns za Urusi kuhusu hakikisho la usalama wa Taifa la Urusi - sasa mlitaka Urusi kumbe ifanyeje ili kujihakikishia usalama wake wa kudumu - who can blame Russians/Putin?
Sasa huoni hapo urusi ndio kasogeza matatizo chumbani kwake? Wale wakimbizi aliowapokea kutoka Ukraine wkt vita inaanza na mpaka inapoendelea Sasa wazee wa kazi aka wakandarasi tayari nao wapo humo na wengine wameshaanza kazi.

Si ajabu siku za usoni kusikia kiti alichokalia Putin kinatoa Moshi na Moto mkubwa unaoambatana na mlio wa radi.
 
Hii pro Russia wanaiita maaa siku hiz
View attachment 2355162

Satellite iliyo kuwa inatumiwa na HIMARS rockets for target acquition imekwisha shushwa kistaarabu - mnacho sahau mi kwamba wavumbuzi wa multi rocket launchers systems ni Warusi wenyewe tangu WW2 does KATYUSHA ring a bell 2U,Wamerika wali copy tu na kuongezea GPS guided Rockets kitu ambacho Warusi wanacho mbona!!
 
Satellite iliyo kuwa inatumiwa na HIMARS rockets for target acquition imekwisha shushwa kistaarabu - mnacho sahau mi kwamba wavumbuzi wa multi rocket launchers systems ni Warusi wenyewe tangu WW2 does KATYUSHA ring a bell 2U,Wamerika wali copy tu na kuongezea GPS guided Rockets kitu ambacho Warusi wanacho mbona!!
Hizi ndio propaganda tunazosema kila siku Urusi inatunga. Leta source Mkuu ya hiyo satellite kushushwa.

Swali: Kama satellite ya HIMARS imeshushwa mbona Makombora ya HIMARS bado yanapiga target za Russia?! ...last week wamelipua ammo depots kule Kherson kwa kutumia Himars
 
Satellite iliyo kuwa inatumiwa na HIMARS rockets for target acquition imekwisha shushwa kistaarabu - mnacho sahau mi kwamba wavumbuzi wa multi rocket launchers systems ni Warusi wenyewe tangu WW2 does KATYUSHA ring a bell 2U,Wamerika wali copy tu na kuongezea GPS guided Rockets kitu ambacho Warusi wanacho mbona!!
Mbona hatuon field, alafu kuvumbua kitu ni tofauti na kumodify kitu ,ni mbinu mbili tofauti ,no kweli Russia ndiye aliyeanza kuvumbua hiz system za kurusha rockets, lakini amezidiwa kwenye modifications. Mfano China ndiye mvumbuz wa bunduki ,ila Russia bunduki yake ya AKA 47 ndiyo bora duniani.kwa hiyo mkuu kuvumbua na kumodifai ni vitu viwili tofauti
Alafu hiyo ya satellite kushushwa ni propaganda ,ile satellite inamilikiwa ma US kama Russian wakijaribu kuigusa hiyo ni direct provoke ,yaan ni sawa na US kumpa Ukraine makombora yanayofika Moscow, mkuu mambo ya vita yana mipaka usifikiri ni kurusha tu mikombora,IPO mipaka,ile satellite ni ya kijeshi na inamilikiwa na jeshi la US siyo Ukraine na wala haifany kazi moja tuu ni multipurpose.
 
Mbona hatuon field, alafu kuvumbua kitu ni tofauti na kumodify kitu ,ni mbinu mbili tofauti ,no kweli Russia ndiye aliyeanza kuvumbua hiz system za kurusha rockets, lakini amezidiwa kwenye modifications. Mfano China ndiye mvumbuz wa bunduki ,ila Russia bunduki yake ya AKA 47 ndiyo bora duniani.kwa hiyo mkuu kuvumbua na kumodifai ni vitu viwili tofauti
Alafu hiyo ya satellite kushushwa ni propaganda ,ile satellite inamilikiwa ma US kama Russian wakijaribu kuigusa hiyo ni direct provoke ,yaan ni sawa na US kumpa Ukraine makombora yanayofika Moscow, mkuu mambo ya vita yana mipaka usifikiri ni kurusha tu mikombora,IPO mipaka,ile satellite ni ya kijeshi na inamilikiwa na jeshi la US siyo Ukraine na wala haifany kazi moja tuu ni multipurpose.
Mbona hatuon field, alafu kuvumbua kitu ni tofauti na kumodify kitu ,ni mbinu mbili tofauti ,no kweli Russia ndiye aliyeanza kuvumbua hiz system za kurusha rockets, lakini amezidiwa kwenye modifications. Mfano China ndiye mvumbuz wa bunduki ,ila Russia bunduki yake ya AKA 47 ndiyo bora duniani.kwa hiyo mkuu kuvumbua na kumodifai ni vitu viwili tofauti
Alafu hiyo ya satellite kushushwa ni propaganda ,ile satellite inamilikiwa ma US kama Russian wakijaribu kuigusa hiyo ni direct provoke ,yaan ni sawa na US kumpa Ukraine makombora yanayofika Moscow, mkuu mambo ya vita yana mipaka usifikiri ni kurusha tu mikombora,IPO mipaka,ile satellite ni ya kijeshi na inamilikiwa na jeshi la US siyo Ukraine na wala haifany kazi moja tuu ni multipurpose.

Someni vizuri nilicho andika, nimesema imeshushwa kistaarabu, repeat imeshushwa kistaarabu - wenye uelewa wa masuala ya communication satellites mbona watanielewa nilikuwa na maanisha nini.
 
Kama ni kweli, basi hii vita imenishangaza sana huku ikinipa tafakuli kuhusu Rwanda......
Hakuna ukweli wa aina yoyote ni propaganda.

Vyombo vya habari vya magharibi havikuwahi kuizungumzia vizuri Russia kabla ya vita kama havikuwahi kuizungumzia vizuri Afrika kwenye vyombo vyao vya habari; njaa, ukame na vita ndivyo ambavyo Afrika itazungumziwa. Kama ambavyo haikuwahi kuzungumziwa vizuri China.

Ikiwa kama ni mfuatiliaji mzuri wa kinachoendélea Ukraine (binafsi naaangalia Sky news) sikuwahi kuona wachambuzi wa huu mgogoro wakizungumzia kushindwa kwa Ukraine. Kila hatua ambayo Ukraine akiifanya wachambuzi wa kimagharibi waliichambua kama mbinu ya kivita mpaka Ukraine kwa sasa 30% imepokwa na Russia. Ikafika hatua mpaka wachangiaji maoni (comments) wakawa wanahoji: Taarifa wanayopatiwa Ukraine inamdhibiti Russia ipasavyo, imekuwaje 30% ya nchi ya Ukraine ipo mikononi mwa Russia? Hivyo, hivi vyombo vya habari ni zana na wenzetu wanavitumia kwa maslahi yao ijapokuwa kwenye uhalisia ikiwa ni tofauti kabisa.

Russia ilitangaza inafanya SMO. Operation ya kijeshi inakuwa limited baadhi ya vitu havitakiwi kufanywa ikiwemo ni kushambulia miundombinu ya nchi husika ambapo operation hiyo inatendeka. Kilichofanywa na Russia ni kavuka mpaka wa kanuni alizojiwekea mwenyewe. Kwa juzi ameshambulia miundombinu ya umeme, maji na sehemu nyengine amepoteza uwezo wa Internet nchini Ukraine.

Hii inatupatia taswira gani? Inategemea kanuni na sheria za nchi husika military operation zina ngazi ngapi mpaka itangazwe vita kamili. Ikifikia hii hatua ubinadamu unaoonekana kwenye hii SMO unatoweka na kuwa maangamizo hata Ikulu ikalipuliwa. Na ndicho ambacho kinachoonekana kwa Russia inachokifanya. Na hii inatokana na msaada wa kijeshi anaopatiwa Ukraine kwa maana kadri ya kasi ya mashambulizi atakayoifanya dhidi ya Russia kwa Russia inakuwa ni funguo ya kutengua kihunzi cha sheria nchini mwao! Kwa sababu hatokubali apoteze wanajeshi kizembe! Na ndicho kinachoonekana SMO kidogo kidogo inapaa na pengine kwa Russia wanaweza wakatangaza ni vita kamili. Ikifikia hii hatua Russia atatumia nguvu yake yote ya kijeshi.

Tukumbuke kwenye hii operation watafiti wa masuala ya kivita wanasema Russia imetumia 15% ya nguvu yake. Kwa takwimu za kidunia US ni wa kwanza na nguvu yake unaijua. UK, France, German nguvu zao za kijeshi zinafahamika ni kubwa na inafahamika moja ya hio nchi ikiingia vitani inafahamika ni uharibifu wanamna gani utakaoufanya! Lakini takwimu za kidunia zinasema Russia kinguvu ya kijeshi ni ya 2 nyuma ya US. Kwa maana hiyo UK, France, German n.k zinasubiri. Jumlisha na kuwa 15% ya nguvu ya kijeshi ya Russia ndiyo inayotumika Ukraine, akiamua kutumia nguvu zake zote itakuwaje?

50% ya nchi ya Ukraine ipo gizani. Wanakuja baadhi ya watu kwa taarifa ya kuwa 80% ya mitambo imeshafanyiwa ukarabati. Ni suala la kujiuliza tu: Ukraine asilimia kubwa ya shughuli za kiuchumi zimesimama. Punde inataka kutangazwa ni nchi iliyofilisika. Na kitu kikilipuliwa hususani na kombora inafahamika itakuwa kwenye mazingira gani! Shughuli za kiuchum zimesimama! Mtambo mzima watautolea wapi! Au spare parts watazitolea wapi? Video ya kilichotokea kwenye mitambo yao ipo wazi! Imehaaribika kabisa! Ukijiuliza zaidi maswali ni mengi kuliko majawabu! Uzi huu unasema Russia imerusha makombora ambayo 2 au 3 ndiyo yamefanikiwa kupenya kwenye anga ya Ukraine lakini vinu vya kuzalishia umeme vipo maeneo zaidi ya 3. Imekuwaje nusu ya nchi iwe gizani? Ukitafakari hivi unapata maswali mengi kuliko majawabu! Mwisho wa siku inaleta dhana ya kuwa hizi data zinazotolewa kwa manufaa ya Ukraine ni za kupikwa! Ijapokuwa neno hili miongoni mwa hawapendi kulisikia!
 
Team Andunje Warusi wa Mchongo toka Buza sijui wamejificha wapi?[emoji848]
Dictator Putin alivyocheza karate anafikiri vita ni karate. Kule chuma kikitua mwilini shughuli imeisha usipokufa hapo hapo, wenzako wanakukimbia unakufa na Njaaa na maumivu makali. USA anapigana battlefield na logistics field war

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hana jibu - ila habari za kuaminika Urusi leo kalipua vituo vya kuzalisha umeme na transformers za kusambaza umeme jumla ni zaidi ya 12 ndani ya siku moja, hivi sasa 50% ya Taifa la Ukraine hawana umeme kabisa - wanao sema Ukraine wamefanikiwa kutungua cruise missile 9 za Urusi kati ya zile 12 zilizo rushwa,iweje tena leo facilities zaidi ya 12 nchini Ukraine zilipuliwe na cruise missiles 3 tu - hii inaingia akilini kweli??
Wewe usiogope vita ya Ukraine imeamia jamii forum. Kuna Wayukraine wa gailo na warusia wa Dodoma kibaigwa

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Vita si kitu kizuri, lakini looking back now Urusi iliwahi kumuonya Zelensky mara ngapi na akapuuzia - kachukua Minsk accord kaichana chana na kuitumbukiza kwenye Dust Bin - kisa? Kashauriwa na Biden/America admin. upuuzie Putin na kutowekea maanani concerns za Urusi kuhusu hakikisho la usalama wa Taifa la Urusi - sasa mlitaka Urusi kumbe ifanyeje ili kujihakikishia usalama wake wa kudumu - who can blame Russians/Putin?
Sisi tunachofuraia kuona wazungu wanakufa basiii.

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom