Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Ewaaaaaaa.Ubelgiji watamtoa brazil kwa kipigo cha Mbwa Koko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewaaaaaaa.Ubelgiji watamtoa brazil kwa kipigo cha Mbwa Koko
Basi Utapata Tabu Sana!Kwa kukosea tarehe ya mechi uzi huu ni ivalid.
teh teh ee... Mkuu haijalishi hata ikianza kupigwa leo maana kesho uzi hautanoga, watu watakua bize kideoni!Mechi hii ni kesho mkuu siyo leo🙂
Brazil itashinda hiyo mechi bila shaka
Sio kwamba hapangwi kwa bahati mbaya, wanaopangwa wako zaidi yake.akipangwa Bobby Firmino kama mmoja wa strikers pale mbele, hakuna wa kuwazuia Seleção!
Nakazia mkuu
Poleeee,kesho niko against na wewe [emoji12]
Tena natamani mtolewe hatariiiiiii nimezichoka drama za NeymarJr.
Sio kwamba hapangwi kwa bahati mbaya, wanaopangwa wako zaidi yake.
Kwa nini asipangwe? Hao ni mashabiki wa liver kama kawaida yao.Wanachotaka watu Gabriel jesus asianze