Kesho itanibidi niwe upande wako tu maana sina jinsi.Hahaha ahah duwa la kuku na hatuwezi tolewa kabisa
Kwa nini asipangwe? Hao ni mashabiki wa liver kama kawaida yao.
Kesho itanibidi niwe upande wako tu maana sina jinsi.
Siipendi Belgium kama nini
Jesus anapambana, tatizo ni wanataka mpaka waone anafunga goli.Ndio wanauleta uliver wanasema Jesus hana anachofanya anaruka ruka tu
Jesus anapambana, tatizo ni wanataka mpaka waone anafunga goli.
Sidhani tite anaangalia zaidi uwezo wa jesus kuweza kuwakaba mabeki wa team pinzani firminho ukabaji wake sio mzuri kesho tupo hapa atatokea benchi kama kawaidaIla tuseme ukweli tu Firminho anajua zaidi ya Jesus.
Na uhakika nilio nao kesho Tite atamuanzisha Firminho trust me Shunie
pale mbele anazidiwa na Neymar tuSio kwamba hapangwi kwa bahati mbaya, wanaopangwa wako zaidi yake.
sawa tutaona keshoSidhani tite anaangalia zaidi uwezo wa jesus kuweza kuwakaba mabeki wa team pinzani firminho ukabaji wake sio mzuri kesho tupo hapa atatokea benchi kama kawaida
Ungeanza kuwachoka marefa walioboronga kiasi cha kuacha kuwaadhibu wakosaji na wakati mwingine kutoa adhabu tata kama aliyesimamia mchezo wa Columbia na watoto wa elizabeti.....🙄Poleeee,kesho niko against na wewe [emoji12]
Tena natamani mtolewe hatariiiiiii nimezichoka drama za NeymarJr.
Hahahhhh.. Haupo serious mkuu.Najua sio kazi nyepesi ila nitafurahi kesho Brazil akikalishwa.
Hakuna cha kina Neymar wala nani.
Jinsi Timu zilivyopangwa hapo nahisi Kombe la Dunia Huwa Lina kautalamu Fulani ka kupanga ratiba kuwa Timu zipi zikutane.Maana naona Timu kali (Ubelgiji,Brazil,Uruguay,France zipo upande mmoja huku upande mwingine umekaa kichovuchovuMsimamo kamili wa kombe la dunia ni huu: (1) France, (2) Sweden , (3) Belgium. Inaudhi kuwa zote ni nchi za Ulaya!!
Brazil ya Sasa ni tamuBrazil ya sasa 2018 imechanganya samba na mpira wa ulaya ,hata kikosi,tofauti na Brazil ya 2010 ( iliyotufunga 5-1 taifa)- 2014 ,hii ya sasa inapobidi kucheza samba wanacheza ,inapobidi kucheza soka la ulaya wanacheza
Watu wajinga kweli,Jesus ukimuangalia vizuri utagundua kuwa ana umuhimu wa kuanza muda wote.Kocha siyo mjinga kumpanga JesusWanachotaka watu Gabriel jesus asianze
Watu wajinga kweli,Jesus ukimuangalia vizuri utagundua kuwa ana umuhimu wa kuanza muda wote.Kocha siyo mjinga kumpanga Jesus
Siyo Lazima apangwe Firmino.Kama uliangalia ile mechi ya Brazil na Mexico utagundua kuwa Firmino anapaswa kutokea Sub.Jesus alicheza kama Striker lakini ukiangalia Kwa Makini alikuwa Striker wa Uongo,muda mwingi alikuwa anarudi katikati kuchukua mipira na kukaba.Then akina Neymar na Coutihno ndo wakawa kama Mastriker ndiyo maana hata Sub alitolewa Coutihno.Jesus akarudi nyuma.Na ndipo Firmino akafanya yake Kirahisiakipangwa Bobby Firmino kama mmoja wa strikers pale mbele, hakuna wa kuwazuia Seleção!
Firmino anaofa vitu vichache kuliko hao waliopangwa.Tatizo watu wanataka kuona Jesus anatupia magoli wakati hawajui Tite kawafundisha nini wachezaji wakeSio kwamba hapangwi kwa bahati mbaya, wanaopangwa wako zaidi yake.