Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Afya ya mkeka wako mpk sasa ni swafi.
 
Mkuu una moyo sana, utabiri wako unaweza kuwa wa ukweli ila sioni juhudi za kurudisha magoli kutoka kwa Uruguay, labda mchezaji wa France ale kadi nyekundu
Uwezekano upo ndiyo maana kocha ameongeza beki mzoefu ili kuruhusu mabeki wengine wapande. Halafu kamuingiza Gomez kumsaidia Suarez na anaendelea namabadiliko. Ukiangalia kwa umakini Uruguay wametawala sehemu ya kati kati na hiyo inakata mawasiliano ya ufaransa na uwezekano wa goli upo
 
Timu za america ya kusini zinacheza sana kiulaya ndio maana hata swisa inaidindishia brazil siku hizi. Kombe labaki ulaya.
kumbe uko nondo kuchambua mpira,,

brazil ndipo wanapoteleza hapo,,

naskia kule brazil wanaoujua mpira wako gerezani na mahabusu,, asa wakiachiwa na ukiwakuta wanausakata noma sanaaaa, watoto wa kihuni ndo wanaujua mpira, asa awa wa kina neymar mmnnh,, brazil ilikuwa ile ya kina gaucho+rivaldo+ronaldo,, ila siku hizi wamejaa wanyoa viduku na wang'ata lips,,[emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…