Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Mpira ukifika katikati Uruguay wametawala na hapo Ufaransa wanaweza kulipa gharama
 

Ili ushinde mkuu inabidi kuwe na attempts on goal, sasa hawa ndugu zetu wanaruka ruka tuu uwanjani, hayo magoli yatarudije?

Bado dakika 12 wafunge magoli mawili ili waendelee kuwepo kwenye mashindano haya
 
Ili ushinde mkuu inabidi kuwe na attempts on goal, sasa hawa ndugu zetu wanaruka ruka tuu uwanjani, hayo magoli yatarudije?

Bado dakika 12 wafunge magoli mawili ili waendelee kuwepo kwenye mashindano haya
Hapana , wanategemea mipira ya juu. Attemp zinakuwa blocked na hasa sifa iende kwa Umtiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…