Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Nawahi nafasi ya 3 hapa nikiwa nasubiri game lianze mwez wa 6
 
Spain wametangaza kikosi chao na wachezaji Cesc Fabregas, Hector Bellerin, Marco Alonso,Ander Herrera na Alvaro Morata hawamo.

Meneja Julen Lopetegui amechagua wachezaji 23 wakiwamo wanne kutoka kwenye ligi ya Uingereza ambao ni David de Gea, Cesar Azpilicueta, Nacho Monreal na David Silva.

Kikosi kamili cha Spain:

Makipa: David de Gea, Pepe Reina, Kepa Arrizabalaga

Walinzi: Dani Carvajal, Alvaro Odriozola, Gerard Piqué, Sergio Ramos, Nacho, Cesar Azpilicueta, Jordi Alba na Nacho Monreal

Wachezaji wa kiungo: Sergio Busquets, Saúl, Koke, Thiago Alcantara, Andres Iniesta na David Silva

Washambuliaji: Isco, Sergio Asensio, Lucas Vázquez, Iago Aspas, Rodrigo na Diego Costa
 
Spain wametangaza kikosi chao na wacheza Cesc Fabregas, Hector Bellerin, Marco Alonso,Ander Herrera na Alvaro Morata hawamo.

Meneja Julen Lopetegui amechagua wachezaji 23 wakiwamo wane kutoka kwenye ligi ya Uingereza ambao ni David de Gea, Cesar Azpilicueta, Nacho Monreal na David Silva.

Kikosi kamili cha Spain:

Makipa: David de Gea, Pepe Reina, Kepa Arrizabalaga

Walinzi: Dani Carvajal, Alvaro Odriozola, Gerard Piqué, Sergio Ramos, Nacho, Cesar Azpilicueta, Jordi Alba na Nacho Monreal

Wachezaji wa kiungo: Sergio Busquets, Saúl, Koke, Thiago Alcantara, Andres Iniesta na David Silva

Washambuliaji: Isco, Sergio Asensio, Lucas Vázquez, Iago Aspas, Rodrigo na Diego Costa

Hatari sana hawa jamaa..

ARGENTINA SPAIN GERMANY kombe linawahusu
 
Huwez ukaingia WC alafu tmu yako iwe Brazil tu apo n kudanganyana au umejua mpira juz
Brazil n tmu ya dunia, apart from Brazil nategemea kila mtu awe na tmu yake
Tmu zaid ya tatu haikubalik, et mtu anashabikia england na German how come????
 
sflnxpobarc7aisdsw7v.jpg

cvujyj6mq3dmq8vlboqc.jpg

  1. 김승규 = Kim Seung gyu
  2. 김진현 = Kim Jin-hyun
  3. 조현우 = Cho Hyun-woo
  4. 고요한 = ko Yohan
  5. 권경원 = Kwon Kyung won
  6. 김민우 = kim min woo
  7. 김영권 = Kim Young-kwon
  8. 김진수 = kim jin soo
  9. 박주호 = park joo ho
  10. 오반석 = Oh Ban suk
  11. 윤영선 = Yoon Yeoung Seon
  12. 이용 = Lee Yong
  13. 장현수 = Jang Hyun soo
  14. 정승현 = Jung Seung Hyun
  15. 홍철 = Hong Chul
  16. 구자철 = Koo Ja cheol
  17. 권창훈 = Kwon Chang hoon
  18. 기성용 = Ki Sung yueng (swansea city)
  19. 문선민 = Moon Sun min
  20. 이승우 = Lee Seung woo
  21. 이재성 = Lee Jae sung
  22. 이청용 = Lee Chung yong
  23. 정우영 = Jeong Woo young
  24. 주세종 = Ju Se jong
  25. 김신욱 = Kim Shin wook
  26. 손흥민 = son heung min (tottenham hotspurs)
  27. 이근호 = Lee Keun ho
  28. 황희찬 = Hwang Hee chan
We jamaa unapenda korea
Nimekuaminia
 
katika kuhakikisha hutapitwa na chochote kitachojiri kwenye kombe la Dunia tumekuletea app ambayo itakuwezesha kutazama kombe hilo Mubashara kwenye simu yako idownload hapa
 

Attachments

Utabiri wangu: last 16

Spain, Portugal, Germany, Sweden, Argentina, Brazil, Egypt, France, Russia, Poland, Uruguay, Switzerland, Peru, Croatia, Japan, Belgium,
 
Spain wametangaza kikosi chao na wachezaji Cesc Fabregas, Hector Bellerin, Marco Alonso,Ander Herrera na Alvaro Morata hawamo.

Meneja Julen Lopetegui amechagua wachezaji 23 wakiwamo wanne kutoka kwenye ligi ya Uingereza ambao ni David de Gea, Cesar Azpilicueta, Nacho Monreal na David Silva.

Kikosi kamili cha Spain:

Makipa: David de Gea, Pepe Reina, Kepa Arrizabalaga

Walinzi: Dani Carvajal, Alvaro Odriozola, Gerard Piqué, Sergio Ramos, Nacho, Cesar Azpilicueta, Jordi Alba na Nacho Monreal

Wachezaji wa kiungo: Sergio Busquets, Saúl, Koke, Thiago Alcantara, Andres Iniesta na David Silva

Washambuliaji: Isco, Sergio Asensio, Lucas Vázquez, Iago Aspas, Rodrigo na Diego Costa
Mi sio chelsea ila kumwacha Marco Alonso sio poa.
 
Spain wametangaza kikosi chao na wachezaji Cesc Fabregas, Hector Bellerin, Marco Alonso,Ander Herrera na Alvaro Morata hawamo.

Meneja Julen Lopetegui amechagua wachezaji 23 wakiwamo wanne kutoka kwenye ligi ya Uingereza ambao ni David de Gea, Cesar Azpilicueta, Nacho Monreal na David Silva.

Kikosi kamili cha Spain:

Makipa: David de Gea, Pepe Reina, Kepa Arrizabalaga

Walinzi: Dani Carvajal, Alvaro Odriozola, Gerard Piqué, Sergio Ramos, Nacho, Cesar Azpilicueta, Jordi Alba na Nacho Monreal

Wachezaji wa kiungo: Sergio Busquets, Saúl, Koke, Thiago Alcantara, Andres Iniesta na David Silva

Washambuliaji: Isco, Sergio Asensio, Lucas Vázquez, Iago Aspas, Rodrigo na Diego Costa
Hii attacking line ni ya kawaida sana. Hapo kati ndio wapo vizuri. Hapa alitakiwa Morata sababu yeye ni cleanical finisher. Natural no 10.

Shauri yao. Sie TeamArgentina tupo full masinonda.
 
Hii attacking line ni ya kawaida sana. Hapo kati ndio wapo vizuri. Hapa alitakiwa Morata sababu yeye ni cleanical finisher. Natural no 10.

Shauri yao. Sie TeamArgentina tupo full masinonda.

Morata ameshindwa kung'ara kwenye ligi ya Uingereza kwa kufunga magoli 11 tu.

Na hata Antonio Conte akaamua awe anamuingiza kipindi cha pili.
 
Goalkeepers: David de Gea, Pepe Reina, Kepa Arrizabalaga

Defenders: Dani Carvajal, Alvaro Odriozola, Gerard Piqué, Sergio Ramos, Nacho, Cesar Azpilicueta, Jordi Alba, Nacho Monreal

Midfielders: Sergio Busquets, Saul, Koke, Thiago Alcantara, Andres Iniesta, David Silva

Forwards: Isco, Marco Asensio, Lucas Vazquez, Iago Aspas, Rodrigo, Diego Costa

tukutane hapa

Marcos alonso,faby,morata wamepigwa chini
 
Back
Top Bottom