Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Mie huwa nakuaga na timu moja tu Brazil pekee yake ktk WC,mpira naupenda mno ,cz nimewahi kuonja matunda yake Mkuu japo kdg
Mkuu kwa sasa Mimi hapana, natizama kwa starehe tu. Nilipotoka mpaka nilipofikia namshukuru Mungu.
 
*MAAJABU YA ROBO FAINALI YA FIFA WORLD CUP 2018*

Mechi ni...

FRANCE vs URUGUAY
BRAZIL vs BELGIUM
SWEDEN vs ENGLAND
RUSSIA vs CROATIA

*SASA ONA MAAJABU...*

FRANCE ina herufi 6
URUGUAY ina herufi 7

BRAZIL ina Herufi 6
BELGIUM ina Herufi 7

SWEDEN ina herufi 6
ENGLAND ina Herufi 7

RUSSIA ina herufi 6
CROATIA ina herufi 7


Mechi zitachezwa tarehe 6 & 7 July

kwa ufupi ni 6 vs 7



... Usipokuwa na imani strong utajua *Free Mansons* wanaendesha world cup!


Ajabu zaidi... team zote zilizo upande wa kushoto katika kila mechi ambazo zilianza kuingia robo fainali zina herufi 6 afu za upande wa kulia ndo zina herufi 7...

Wazee wa ku-bet chukueni hii
[emoji116]
Leo ni tar 6 timu zenye herufi 6 (France and Brazil) zitashinda,, kesho ni tar 7 timu zenye herufi 7 (England na Croatia) zitashinda

#Sa iv sitaki kutabiri kwa kutumia utashi,, nipo kifreemanson zaidi!
uzi wako umefeli mkuu et eee jaribu tena mkuu
 
Atoke na mwingereza kisha nianze kuangalia kombe la dunia kwa amani.
Bingwa wa maneno dhidi ya vitendo a.k.a England bado hajakutana na timu ngumu. Na mpira wake wa kukariri ule akifikia pembeni lazima apige krosi. Hata kesho yenyewe akikaziwa anaweza akapotea.
 
Back
Top Bottom