joely sandu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 1,962
- 1,818
Me sijaweka mkekaMaboya wamechaniwa mikeka dadek
Unaona Neymar anavyojiangusha, bahati refa amebaini
Brazil pandeni ndege mrudi kwenu
De bruyne huyu jamaa ana mpira wa faida sana kuliko neymar
HahahahaMadrid wakimnunua huyu bishoo watakuwa watajuta sana
Aliwashtukia Brazil. Alitetoboa siri alikuwa Mexico na kuonya FIFA kuhusu Neymar kujitupa. Sikuona makali kama yale superstar waliopita. Just Neymar, nothing moreRefa alishtukia mapema
Belgium walijamba Kwa Mjapan itakuwa Kwa Mbrazil?
Aliwashtukia Brazil. Alitetoboa siri alikuwa Mexico na kuonya FIFA kuhusu Neymar kujitupa. Sikuona makali kama yale superstar waliopita. Just Neymar, nothing more
Utoto mwingi umewacost
Kapigwa
One of the best match in WC 2018 ni hii.
Mie huwa nakuaga na timu moja tu Brazil pekee yake ktk WC,mpira naupenda mno ,cz nimewahi kuonja matunda yake Mkuu japo kdg
Atoke na mwingereza kisha nianze kuangalia kombe la dunia kwa amani.
View attachment 803981 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Limebaki ulaya tayari.
Yule Paulinho kapoteza nafasi nyingi sana aisee .....costa mnyama angeanza tungekuwa tunaongea mengine sasa hivi
Tatizo ile Jezi ya njano acha wapigwe.