Black danceWhat was that shit Umtiti was dancing??
Tupo pamojaLeo nipo Ufaransa
Wamekusikia mkuu.
Noma sana huyu ndo mana wapo salama
huyu mlugulu utadhani hayumo, kumbe anatibua mipango tu humo.
Moira ni dkk90
Shughuli yake sio ya kitoto😀😀😀😀😀😀😀
huyu mlugulu utadhani hayumo, kumbe anatibua mipango tu humo.
HahahahaaWapo, ila wamejificha mahali, utawaona mkipata goli
Chukua buckets kbsWaitress nletee Heineken, sitaki hangover asubuhi mm...
Mbape hatar sanahuyu Mbape kwa namna flan n kma henry enz zake kazidiwa Pace na ujanja wa kufunga ila muda bd anao, anajua sana
Wooyoooo[emoji482][emoji482][emoji482]Chukua buckets kbs
Giroud hajaitendea haki, badala ya kufunga anataka aguse mara ya kwanza alafu ndio apige wakati yupo na goli.Mmeiona pass ya Mpape lakini?
A million dollar pass