Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,178
- 4,449
Hahaha,
Naona bwana mdogo mbape katika fainali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha,
Noma sana kanifurahisha mnooHahaha,
Naona bwana mdogo mbape katika fainali.
Hawa ni ndugu?Thiery Henry na Mbappe
View attachment 806831
Bwana mdogo anauwezo,mimi nilianza kumfatilia akiwa monaco tena baada ya mdogo wangu kumsifia na kumuelezea,nikatenga muda kumsoma kisha nikampitisha katika wanasoka wangu Pendwa.Noma sana kanifurahisha mnoo
Nami hiko ndio nachompendea. Anajua sana yanii tupa kule neyma tupa kule messi. Napenda kumuangalia huyu jamaaBwana mdogo anauwezo,mimi nilianza kumfatilia akiwa monaco tena baada ya mdogo wangu kumsifia na kumuelezea,nikatenga muda kumsoma kisha nikampitisha katika wanasoka wangu Pendwa.
Speed yake,wepesi wake,uwezo wa kutumia miguu yote kubwa zaidi mtu wa tabasamu lenye ukarimu.
Nadhani itapendeza sana akichukua world cup.Nami hiko ndio nachompendea. Anajua sana yanii tupa kule neyma tupa kule messi. Napenda kumuangalia huyu jamaa
Huwa wanaandika Misses next match jana sikuonaSi ana kadi mbili huyu
Mechi ya finally atacheza?
popote paleHapa hapa au pm?
Japo naona pm ndo kuzuri zaidi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] LOL.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] loh.Dah Leo angalau nina amaniLeo tabu imerudi ilikotokaDah ingekuwa huzuni sana ningepoteza na leo.
Ikifika nusu fainali wanafuta kadi zote na kuanza upyaHuwa wanaandika Misses next match jana sikuona
Hahahaaa. Ndio Soka lakini rafiki.
Ila nilichukia acha tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] LOL.
RAFIKI HICHO NI ZAIDI YA KICHEKO LOL. Hongereni bana.
beingsingle uko wapi mdogo wangu najua usingizi umekuwa mtamu hasa leo. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaaa. Acha tu rafiki na nikajikuta nakuwaza we na beingsingle ila nikajisemea nitakutana na quote zao asubuhi. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahah kama nilikuona vile ukisonya shwain zao Belgium
Hahahaa. Na mngepata tabu hasaaaaaa.Ni zaidi ya furaha. Belgium ingepita tungepata tabu sana. Asante
Bado una maumivu Demba?popote pale
Hahahaa. Na mngepata tabu hasaaaaaa.
Haya bana rafiki wacha tugange ya Fainali sasa. Teh teh
Hahahaaa. Acha tu rafiki na nikajikuta nakuwaza we na beingsingle ila nikajisemea nitakutana na quote zao asubuhi. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila mnaeza chukua Kombe aisee.