kocha kasikia kilio chetu, bora kamtoaGiroud ni mtumishi hewa.
Wewe, roho inataka kuchomoka huku, Croatia sio wakwenda nao hukoWengine tunaomba +30 zihusike
Unataka kutuambia viungo wa ufaransa wamecheza vizuri? Hawajafanya kauta ataki yoyote na kiungo cha france chote kimemezwa na croatia na goli zao ukitoa la mbappe ambalo nalo ni croatia hawakumkaba hernandez, la pogba kapiga vizuri ila ilikuwa ni gombania goli kama shule ya msingi mnapocheza mpira na ukakuangikia.Huwezi cheza kushambulia huku unasahau viongo na striking force ya ufarance ukabaki salama.
Ametoka tayariGiroud ni mtumishi hewa.
Pressure ya Croatia ni kubwa ila inapozwa na kante na pogba hapo kati, unajua football ukiwa na vioungo wajanja wanasoma mchezo kante ata asogei mwanzo ata mbape alikuwa anashambulia kwa akili na kuibia anaattention kubwa kulinda!Unataka kutuambia viungo wa ufaransa wamecheza vizuri? Hawajafanya kauta ataki yoyote na kiungo cha france chote kimemezwa na croatia na goli zao ukitoa la mbappe ambalo nalo ni croatia hawakumkaba hernandez, la pogba kapiga vizuri ila ilikuwa ni gombania goli kama shule ya msingi mnapocheza mpira na ukakuangikia.
Bahati ikikuangukia ni imekuangukia tu, ndio bahati ya france leo.
MtumeeeMtanipa update wakuu tanesco wamefanya yao....
Asante MolaDk ya 84 hamna matumaini aisee. 4-2 france leads
Shekilango wapi, hapo legho kwa kitimoto ya kuchoma??Eeh[emoji15] [emoji15] [emoji15] pole, wahi hapa shekilango[emoji12] [emoji12] [emoji12]