Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
Golikipa wa Ufaransa amewapa wenzake kazi ya ziada . Baada ya goli la nne, Croatia walikata tamaa, walichokuwa wanafanya ni kurudi nyuma kuzuia aibu ya goli la 5 au 6
Baada ya goli la pili walilopewa na golikipa, nguvu imerudi na naliona goli la tatu kwa Croatia soon!
Baada ya goli la pili walilopewa na golikipa, nguvu imerudi na naliona goli la tatu kwa Croatia soon!