Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

France is The Only African Team Left In the World Cup.

France World Cup Players

1) Presnel Kimpembe - Congo

2) Samuel Umtiti - Cameroon

3) Paul Pogba- Guinea

4) Kylian Mbappé - Cameroon/Nigeria

5) Ousmane Dembélé - Senegal/Mali

6) Corentin Tolisso - Togo

7) N'Golo Kanté - Mali

8) Blaise Matuidi - DR Congo, Angola

9) Steven Nzonzi - DR Congo

10) Steve Mandanda - DR Congo

11) Adil Rami - Morocco

12) Nabil Fekir - Algeria

13) Djibril Sidibé - Senegal

14) Benjamin Mendy - Senegal
Hii ni afrika unite.
 
Nzuri dear,yani nilikuwa nimesahau hadi jinsi ya kulike [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimehangika kama dakika 1 hivi ndio nikaweza [emoji85]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli ujue nilikuwa naona kule KT I'd ya nifah nikasema labda mtu tu kaamua kutumia tulikumiss jamani nimefurahi mnoo kukuona mwambie the bold aje atuendelezee story
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli ujue nilikuwa naona kule KT I'd ya nifah nikasema labda mtu tu kaamua kutumia tulikumiss jamani nimefurahi mnoo kukuona mwambie the bold aje atuendelezee story

Kule kwa New Villager ndio mimi mpenzi,yani nina bahati mbaya nilipanga kurudi JF baada ya Ramadhan... Imeisha JF nayo ipo kwenye ban.
Ndio ikabidi niwafuate kule KT
Asante mpenzi [emoji1488]
 
Hahahah kwa new villager jamani tulikuwa wakimbizi ghafla dah bora tumerudi nyumbani
Kule kwa New Villager ndio mimi mpenzi,yani nina bahati mbaya nilipanga kurudi JF baada ya Ramadhan... Imeisha JF nayo ipo kwenye ban.
Ndio ikabidi niwafuate kule KT
Asante mpenzi [emoji1488]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli ujue nilikuwa naona kule KT I'd ya nifah nikasema labda mtu tu kaamua kutumia tulikumiss jamani nimefurahi mnoo kukuona mwambie the bold aje atuendelezee story
Kule kwa New Villager ndio mimi mpenzi,yani nina bahati mbaya nilipanga kurudi JF baada ya Ramadhan... Imeisha JF nayo ipo kwenye ban.
Ndio ikabidi niwafuate kule KT
Asante mpenzi [emoji1488]
Na mimj nikikuwa na wasiwasi nilidhani kuna mtu kaiba ID yako, niliwahi kukuuliza unatumia ID gani ya JF ili niweze kujiridhisha.
 
Argentine,Portugal,Germany,Spain hawapo utasema kuna kombe la dunia tena hapo.
Kwani hizo timu zimejitoa? Yawezekana viwango vyao vimeshuka au timu zingine nazo zimepanda viwango
 
Na mimj nikikuwa na wasiwasi nilidhani kuna mtu kaiba ID yako, niliwahi kukuuliza unatumia ID gani ya JF ili niweze kujiridhisha.
Mm hata kuuliza niliogopa nilikuwa naipita tu sababu KT kule watu wana majibu ya shombo matusi
 
Back
Top Bottom