squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,182
Hii ni afrika unite.France is The Only African Team Left In the World Cup.
France World Cup Players
1) Presnel Kimpembe - Congo
2) Samuel Umtiti - Cameroon
3) Paul Pogba- Guinea
4) Kylian Mbappé - Cameroon/Nigeria
5) Ousmane Dembélé - Senegal/Mali
6) Corentin Tolisso - Togo
7) N'Golo Kanté - Mali
8) Blaise Matuidi - DR Congo, Angola
9) Steven Nzonzi - DR Congo
10) Steve Mandanda - DR Congo
11) Adil Rami - Morocco
12) Nabil Fekir - Algeria
13) Djibril Sidibé - Senegal
14) Benjamin Mendy - Senegal
Niliisikia hiyo habari kwenye Radio kijana yupo vizuri ngoja tuone leoYusufu yupo uwanjani anatuwakilisha.
Yusufu Yurary Poulsen baba yake ni mtu wa tanga mama mtu wa denmark.
Kauli mbiu yao safari hii ni IT IS COMING HOME NOW.Wale wapiga kelele wa London wakitoka nafsi yangu itaburudika sana...
Google Yousuf Yurary Poulsen. Huu si utani. Ni mdenmark ila baba yake mtanzania. Yupo uwanjani sasa na denmark.
Mechi ya kwanza ndio alifunga goli la ushindi.Niliisikia hiyo habari kwenye Radio kijana yupo vizuri ngoja tuone leo
Kama wewe hupendi vyote sawa mkuu. Mimi nimefurahi damu ya tanzania angalau ipo hapo.anakuwakilisha wewe Mdenish kwani?
damu ipi mkuu, huyo ni Mdenish sio Mtanzania. Hili nalo linahitaji Masters ili uelewe?Kama wewe hupendi vyote sawa mkuu. Mimi nimefurahi damu ya tanzania angalau ipo hapo.
Ni nini ambacho hatuelewani hapa? Najua ni mdenish ila haitoi ukweli kuwa baba yake ni mtanzania.damu ipi mkuu, huyo ni Mdenish sio Mtanzania. Hili nalo linahitaji Masters ili uelewe?
Nimefurahi kukuona nifah jamani za ww
Croatia nae anaaga
Wifi mzima.
Naangalia game mmmhh hata mie nimebaki name Croatia na Mexico[emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli ujue nilikuwa naona kule KT I'd ya nifah nikasema labda mtu tu kaamua kutumia tulikumiss jamani nimefurahi mnoo kukuona mwambie the bold aje atuendelezee storyNzuri dear,yani nilikuwa nimesahau hadi jinsi ya kulike [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimehangika kama dakika 1 hivi ndio nikaweza [emoji85]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli ujue nilikuwa naona kule KT I'd ya nifah nikasema labda mtu tu kaamua kutumia tulikumiss jamani nimefurahi mnoo kukuona mwambie the bold aje atuendelezee story
Kule kwa New Villager ndio mimi mpenzi,yani nina bahati mbaya nilipanga kurudi JF baada ya Ramadhan... Imeisha JF nayo ipo kwenye ban.
Ndio ikabidi niwafuate kule KT
Asante mpenzi [emoji1488]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli ujue nilikuwa naona kule KT I'd ya nifah nikasema labda mtu tu kaamua kutumia tulikumiss jamani nimefurahi mnoo kukuona mwambie the bold aje atuendelezee story
Na mimj nikikuwa na wasiwasi nilidhani kuna mtu kaiba ID yako, niliwahi kukuuliza unatumia ID gani ya JF ili niweze kujiridhisha.Kule kwa New Villager ndio mimi mpenzi,yani nina bahati mbaya nilipanga kurudi JF baada ya Ramadhan... Imeisha JF nayo ipo kwenye ban.
Ndio ikabidi niwafuate kule KT
Asante mpenzi [emoji1488]
Kwani hizo timu zimejitoa? Yawezekana viwango vyao vimeshuka au timu zingine nazo zimepanda viwangoArgentine,Portugal,Germany,Spain hawapo utasema kuna kombe la dunia tena hapo.
Mm hata kuuliza niliogopa nilikuwa naipita tu sababu KT kule watu wana majibu ya shombo matusiNa mimj nikikuwa na wasiwasi nilidhani kuna mtu kaiba ID yako, niliwahi kukuuliza unatumia ID gani ya JF ili niweze kujiridhisha.
Mimi sikujali, niliuliza tuMm hata kuuliza niliogopa nilikuwa naipita tu sababu KT kule watu wana majibu ya shombo matusi
Hahahahha siku Germany ametoka nilikula bata la nguvu sio kwa raha niliyopata[emoji40] [emoji40] [emoji40][emoji23][emoji23][emoji23] Mzima Wii darling,wewe je?
Mwenzangu baki na Mexico yako,nawachukia ndio walioanza kuitia gundu Germany yangu.