Ubelgiji imeshiba lakini hili kombe Lina miujizaWanapigwa zaidi ya goli mbili
Waafrika hadi mashabiki tunafungwa.Brazil na Belgium wakikutana haitakuwa mechi rahisiJapo ningependa kuona Japan wakifanya maajabu usiku huu, lakini bora Belgium wabaki waje kuwashughulikia Brazil .
Una bahati mbaya
Tayari mkuu,Neymar na Fermino wamefanya yao
Poleee[emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mi Brazil damu!hapo hapa kati ilikua inaniangusha mnoo!siiamini hii timu!kwa sasaAsante mpenzi,nawe hongera.
Waafrika hadi mashabiki tunafungwa.Brazil na Belgium wakikutana haitakuwa mechi rahisi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mi Brazil damu!hapo hapa kati ilikua inaniangusha mnoo!siiamini hii timu!kwa sasa
Acha tu yaani!Leo yenyewe mpira nimeuogopa nimeuangalia jf[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] maana mexico sio wabaya!!hapa naogopa balaa!!!na hii preshaaBora uendelee kukosa imani hivyohivyo maana mkikutana na Belgium hutoumia sana kuliko ukiwaamini mabishoo wale [emoji12]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mie nampa mbelgiji japa natamani afungwe[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Mie ni nani hadi niache kuwa upande wa De Bruyne?
Naraguchi na Honda safari imekwiva.
Brazil ya sasa ina vitu vingi uwanjani ,pia wameweza kuchanganya samba na soka la ulaya ,naungana na wewe MkuuTaratibu tutarudi kushabikia Brazil kama kipindi tupo Primary
Wa kawaida sana hawa.Brazil ya sasa ina vitu vingi uwanjani ,pia wameweza kuchanganya samba na soka la ulaya ,naungana na wewe Mkuu
Alibadilika kipindi chapili.Willian yupo Slow?
Subiri Belgium ifanye mambo sasa hivi, waambie wafue nguo zao kabisa na kuzinyosha kisha kuzipanga kwenye mabegi yaoUshindi kwa BRAZIL mimi raha tupu hapa. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Golden Boot inaenda kwa Kane au LukakuHazard goli 2
Neymar goli 2
mimi nawaangalia hawa tu kwa sasa kama MESSI na RONALDO waliobaki Russia..
Japo kuna Harry Kane goli 5, na Lukaku goli 4.
[HASHTAG]#2018Russia[/HASHTAG]