Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Japo ningependa kuona Japan wakifanya maajabu usiku huu, lakini bora Belgium wabaki waje kuwashughulikia Brazil .
 
Waafrika hadi mashabiki tunafungwa.Brazil na Belgium wakikutana haitakuwa mechi rahisi


Nimeangalia game ya Brazil vs Mexico hapa, ilikuwa 50/50. Kilichotokea ni kwamba, Brazil wametumia vizuri 2 of their chances, kwahiyo ninachosema, Brazil akicheza na Belgium, any team can win the game.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mi Brazil damu!hapo hapa kati ilikua inaniangusha mnoo!siiamini hii timu!kwa sasa

Bora uendelee kukosa imani hivyohivyo maana mkikutana na Belgium hutoumia sana kuliko ukiwaamini mabishoo wale [emoji12]
 
Bora uendelee kukosa imani hivyohivyo maana mkikutana na Belgium hutoumia sana kuliko ukiwaamini mabishoo wale [emoji12]
Acha tu yaani!Leo yenyewe mpira nimeuogopa nimeuangalia jf[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] maana mexico sio wabaya!!hapa naogopa balaa!!!na hii preshaa
 
Mie ni nani hadi niache kuwa upande wa De Bruyne?
Naraguchi na Honda safari imekwiva.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mie nampa mbelgiji japa natamani afungwe[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Mpo jamani,wale tuliokuwa wote hapa 2014,by Gods Grace we are here again,to let you know,Iam team France,Brésil and Belgium.Haya twendeni kazi.
 
Back
Top Bottom