Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hamna wametumia tafsida tuu kusema kufa kiume,.imechukuliwa kama " kupambana" kujitoa kwelikweli pamoja na vikwazo vyoote hukubali mpaka kieleweke,.no kukata tamaa kirahisi rahisi,.ni maneno tuu ya kiswahili/uswahili[emoji16]Unakuta mtu unapambana kabisa...unafeli mwishoniii...mtu anakwambia pole umekufa kiume[emoji1] [emoji23] kufa ni kufa tu bhana...aliyekufa kiume na aliyekufa kikike wote mtaoza tu[emoji23] nahisi haka kamsemo kaliwekwa kuwafariji tu watu kinaa naa too[emoji35]
Sikutarajia hii game kama ingekuwa na msisimko kiasi hichi.Japan wametoka kiume kama ilivyokuwa Denmark
Mmh kesho ni vita kati ya Kenny na FalcaoFinal njia nyeupeee Englandi anakufa tatu kesho..
Japan waliwekeza ,naona ushauri wa kocha wao wa zamani mbrazili Zico unafanya kazi ,hawa wako siku tutawaona fainali ya WCIla japan wame advance tactically kimpira ,sasa tatizo lipo africa au mataifa yetu yanapigana ndumba hadi timu za taifa?
Mmh sorry mkuu, hiyo Avater hiyo, nilipo iona sikuhoji Mara mbili, sorry sana.Mama[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23]
Sema mkeka umechanikaJapan wananikosesha usingizi murua, mahonda na masuzuki yamekua maskrepa...
Naomba nitangaze kabisa nitakuwa colombia keshoTukutane kesho wakati Taifa Stars ya Ulaya itakapokuwa inacheza na Colombia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema mkeka umechanika
Sema mkeka umechanika
Ingland hawana kikosi cha kuzuia mashambuliz ya ColombiaMmh kesho ni vita kati ya Kenny na Falcao
Ubelgiji safari yake imefika mwisho.
Mmh, ngumu kuamini kilahisi hivyoIngland hawana kikosi cha kuzuia mashambuliz ya Colombia
Safari yake imeisha.
Uwakika mwanangu ..kesho colombia tuna mnywa mtu tatu.Wanangu wa Colombia kesho msiniangushe, tuwachape hao waongeaji kama wanawake wa uswahilini...
Mkaendelee kutengeneza Honda huko
Ningejua umejudge kupitia avatar nisingekupinga...upo sahihi,japo mi ni ME....Mmh sorry mkuu, hiyo Avater hiyo, nilipo iona sikuhoji Mara mbili, sorry sana.