Jiwe_Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 416
- 807
Wametoa kila kitu walichonacho katika mchezo huu ila inakuja swala la ubora ndio limewaangusha. Naamini kwao watapokelewa kwa furaha sana.Hongera pia kwa Japan wamecheza game na timu ngumu na iwepata changamoto mpaka dk za mwisho....halla Japan say hello to goodbye!!!