Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Sawa mkuu.Nimeiweka mahali salama hii comment yako ili ije kutumika baadae wakati mechi ikiwa inaendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu.Nimeiweka mahali salama hii comment yako ili ije kutumika baadae wakati mechi ikiwa inaendelea
Sawa sawa kaka tuko pamoja, ngoja tukajinoe kwa kipute kijacho.unachoongea ni kweli kabisa, ila wachezaji wote wana kiwango cha dunia najua umenipata, hii game kwa watu wasiowajua belgium najua wataidharau, ila belgium mpira wake ni long pass,,, brazil najua wanapiga pass fupi,,,
ila mm ntafurai kuona soka ya uhakika na yenye magori,,,
leo upangaji wa kikosi ndo utavigarimu timu yoyote ile,,,
mkuu ngoja nikale kabisa ili niwai siti ya mbele
Uzuri na Ubelgiji wanayajua haya hivyo watajipanga kuivuruga Brazil.Kabisa kaka, lakini Brazil huwa wanatabia ya kupooza mpira na kushambulia kwa mipango sana huku wakikaa na mpira muda mrefu bila kushambulia kwa kukimbiza saana, kwa maana hiyo presha ya mechi inakuwa chini, sasa Belgium wao wanacheza mpira kwa kasi sana wakitumia zaidi mawinger wao Hazard na De Bruyne, ambao leo wanakutana na mabeki bora kabisa.
Katika hali kama hii Brazil wakifanikiwa kuipoza presha ya Belgium na kuwavuta kuiga mpira wao, basi watakuwa wanajizika wenyewe Belgium.
Kama wanataka kushinda basi leo wawe makini sana Belgium.
Pia ningeshauri Lukaku angepumzika na badala yake akacheza Basuery pale mbele
Lukaku hana uwezo wa kukabana na Thiago Sliver.
Hii ni kupitia M bet auni App gani..?
That's the truth.Leo Brazil wanarudi nyumbani.Really??
Game itakua tyt kwa team zote ila nnampa Ubelgiji.Mkuu kwa uzito ule wa Lukaku, sioni ni kwa namna gani anaweza kuwapenya hao miamba wawili hapo.
Hahahaha, utanitag ukiitumia mkuu [emoji2] [emoji2]Nimeiweka mahali salama hii comment yako ili ije kutumika baadae wakati mechi ikiwa inaendelea
It might be...That's the truth.Leo Brazil wanarudi nyumbani.
Hahahaha, utanitag ukiitumia mkuu [emoji2] [emoji2]
M betHii ni kupitia M bet auni App gani..?
hii mechi ya dakika 90,wakienda kwenye penati brazil anapigwahii game ya brazil huenda ikaenda 120
Akiba ya nn? Tuna kipi cha kuogopa leomashabiki wa brazil naomba muweke akiba ya maneno,
Shunie leo tunawatoa watu mapemaaa hatuhitaj dk 120Woooooozeeer wanaume wanaingia kazini [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] mbebez wangu Neymar usiniangushe jamani mkeka wangu uko mikononi mwenu