Russia yagoma kutoa maelezo juu ya counteroffensive inayofanywa na ukraine

Russia yagoma kutoa maelezo juu ya counteroffensive inayofanywa na ukraine

Kuna habari humu a very high-ranked russian general amedakwa kama kuku. Saa hizi yuko chumba maalumu "anaharisha pipi" moja baada ya nyingine hadi kieleweke.
Unataarifa za ndani sana mkuu bila shaka utakuwa jasusi katika moja ya idara hapo Ukraine maana taarifa ndio unaitoa ww
 
Winter’s coming, and winter’s going to be hard on the battlefield in Ukraine. We know that the size of the Ukrainian army is now roughly three times as big as what it was last winter,” Stoltenberg added. NATO secretary general
 
Source Yahoo dot com mtu unaegemea nini kutoka ..kwenye chombo kama hicho zaidi ya sensational news designed to demonise Russia and Putin in particular.

FYI,Warusi hawafanyi maigizo ya Hollywood - wana taratibu zao ya kutoa maelezo ya (BDA) kwenye media briefing ya operations zao za kivita - hawalazimiki kusema chochote kwenye operations zao - repeat, vyombo vya magharibi vina moral Authority gani ya kutaka kulazimisha Urusi iseme kile MSM za magharini zinazp taka kusikia kutoka jeshi la Urusi.

Urusi ni taifa huru linalo jiamini, hakuna anaye weza kulikalia kooni.
Hahaaa!!pro russia huko mambo yamebadirika, jaribu hata kuangalia tv ya taifa ya RUSSIA, (RT)propaganda zimewaishia sasa.Wanajeshi wenyewe wengi wametoroka, kuna mwingine anatafuta hadhi ya ukimbizi UFARANSA, ana kwambia wahana molari ya kupigana kabisa, na wanakufa sana, kwani hawako organised kabisa.
 
Back
Top Bottom