Russia yagoma kutoa maelezo juu ya counteroffensive inayofanywa na ukraine

Kuna habari humu a very high-ranked russian general amedakwa kama kuku. Saa hizi yuko chumba maalumu "anaharisha pipi" moja baada ya nyingine hadi kieleweke.
Unataarifa za ndani sana mkuu bila shaka utakuwa jasusi katika moja ya idara hapo Ukraine maana taarifa ndio unaitoa ww
 
Winter’s coming, and winter’s going to be hard on the battlefield in Ukraine. We know that the size of the Ukrainian army is now roughly three times as big as what it was last winter,” Stoltenberg added. NATO secretary general
 
Hahaaa!!pro russia huko mambo yamebadirika, jaribu hata kuangalia tv ya taifa ya RUSSIA, (RT)propaganda zimewaishia sasa.Wanajeshi wenyewe wengi wametoroka, kuna mwingine anatafuta hadhi ya ukimbizi UFARANSA, ana kwambia wahana molari ya kupigana kabisa, na wanakufa sana, kwani hawako organised kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…