Russia yasema Hezibollah wanafanya vyema kwenye uwanja wa Vita

Russia yasema Hezibollah wanafanya vyema kwenye uwanja wa Vita

green rajab

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
12,387
Reaction score
39,119
Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi ilisema jana Jumatano kwamba Hezbollah bado iko imara na haijapoteza uimara wake kwenye uongozi licha ya mashambulizi ya Israel, ambayo Moscow ilisema yana lengo la kuchochea mgogoro wa kivita katika Mashariki ya Kati.

"Kwa mujibu wa tathmini zetu, Hezbollah, ukijumlisha na kitengo chake cha kijeshi, haijapoteza mfumo wake wa uongozi" alisema Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, Maria Zakharova, kwa waandishi wa habari.

Zakharova alisema kuwa Mataifa ya Magharibi, hasa Marekani na Uingereza, yanachochea mgogoro huo katika Mashariki ya Kati na kuonyesha unafiki kwa kuunga mkono Israel ambayo inasababisha vifo vingi vya raia nchini Lebanon.

IMG_20241010_115752.jpg


IMG_20241010_115754.jpg
 
Waziri wa mambo nje wa Urusi Dimitry Lavrov amesema Hizibollah hawajapoteza bado wanafanya vyema kwenye uwanja vita hasa kuwafix wanamgambo wa Israel

NEW:

[emoji635][emoji1146] Russian Foreign Ministry says Hezbollah is doing well:

"According to our assessments, Hezbollah, including the military wing, has not lost its chain of command and is demonstrating organisation."
Russia wanachofanya ni kushika akili za kobazi ukiwasifia magaidi wa kidini watakuelewa sana
 
Russia ndo wameishiwa akili kiasi hiki?

Ama kweli, mtu akiwa mshabiki wa warabu ni sawa na mtu kuishabikia ccm

Lazima akili zichomolewe kwanza

Kufanya vyema kwenye nini yaani
Wanaamini kwamba wana wakomoa Israel🤣
 
Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi ilisema jana Jumatano kwamba Hezbollah bado iko imara na haijapoteza uimara wake kwenye uongozi licha ya mashambulizi ya Israel, ambayo Moscow ilisema yana lengo la kuchochea mgogoro wa kivita katika Mashariki ya Kati.

"Kwa mujibu wa tathmini zetu, Hezbollah, ukijumlisha na kitengo chake cha kijeshi, haijapoteza mfumo wake wa uongozi" alisema Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, Maria Zakharova, kwa waandishi wa habari.

Zakharova alisema kuwa Mataifa ya Magharibi, hasa Marekani na Uingereza, yanachochea mgogoro huo katika Mashariki ya Kati na kuonyesha unafiki kwa kuunga mkono Israel ambayo inasababisha vifo vingi vya raia nchini Lebanon.

Russia anacheza na akili za kobazi wamuunge mkono mara Putin apige picha amebeba qoroani , mara landrov awatetee hamas na hezbollah zote hizo ni kutafuta uungwaji mkono na kobazi ukiisifia dini yao au vikundi vya kigaidi hata mauaji ya waukraine wataona sahihi
 
Back
Top Bottom