Hongereni ila IDF amazonian mbele tu...Israel wanachapika na hizbullah,kyriat shmona,safe,galilaya hakukaliki, iron dome haifanyi kazi
Hongereni ila IDF amazonian mbele tu...
Propaganda za waarabu hazijawahi wasaidia mbele ya Israel.. alishindwa mtume wa waarabu mtaweza nyie?
Urusi hawezi akapigwa na taifa ambalo haliwezi kusimama yenyewe linasaidiwa na mataifa mengineRussia nae ajiunge tu apigwe.. hii ni vita tayari waarabu wanaruhusiwa kuwa na mashabiki tu wawasaidie maumivu
Duh,Russia yasema Hezibollah wanafanya vyema kwenye uwanja wa Vita
Hali mbaya Netanyaho anajutaIsrael wanachapika na hizbullah,kyriat shmona,safe,galilaya hakukaliki, iron dome haifanyi kazi
Mbona hapo Syria hao Israel walishindwa kumuondoa Assad? Urusi angeshaifuta Israel kwenye ramani ya dunia.Inamaana urusi inaunga mkono magaidi ila Israeli ndo kiboko yao na hawakomoleki milele
Vodka zina tabia ya kuyumbisha dishiRussia ndo wameishiwa akili kiasi hiki?
Ama kweli, mtu akiwa mshabiki wa warabu ni sawa na mtu kuishabikia ccm
Lazima akili zichomolewe kwanza
Kufanya vyema kwenye nini yaani