Neema kwa viongozi japo uongozi nchini Malawi si wakifamilia na wakudumu kama Tanzania.Malawi discovers largest rutile mineral reserves in the world @ 1.8 billion tonnes.
At present price, the wealth is 3 trillion USD.
Kwa viongozi wa kiafrica bado nchi itateseka na umasikiniView attachment 2201967
Hakuna nchi iliyoendelea duniani kwa kuuza malighafi. Bila viwanda vyetu tusitegemee maajabu. Wazungu ndio watakaonufaika na hayo madini na sisi tutaendelea kubaki na mashimo. Hivyo wamalawi wasishangilie sanaaaa!Malawi discovers largest rutile mineral reserves in the world @ 1.8 billion tonnes.
At present price, the wealth is 3 trillion USD.
Kwa viongozi wa kiafrica bado nchi itateseka na umasikiniView attachment 2201967
Wala hawana habari, madini mengi sana yanachimbwa pamoja na yureniamu ila wanachokiona ni mashimo tu.Hakuna nchi iliyoendelea duniani kwa kuuza malighafi. Bila viwanda vyetu tusitegemee maajabu. Wazungu ndio watakaonufaika na hayo madini na sisi tutaendelea kubaki na mashimo. Hivyo wamalawi wasishangilie sanaaaa!
Ruby zilitoroshwa enzi ya Kikwete wazungu wamesema acheni porojo zenu!Ruby yetu ilitoroshwa na magufuli.
magufuli alikuwa waziri na ndiye aliiba ile ruby yetu. Jamaa alikuwa mwizi sana.Ruby zilitoroshwa enzi ya Kikwete wazungu wamesema acheni porojo zenu!
Wewe bwege acha uzuzu wako Jiwe hajawahi kuwa waziri wa madini!magufuli alikuwa waziri na ndiye aliiba ile ruby yetu. Jamaa alikuwa mwizi sana.
alikuwa waziri wa uchukuzi zezeta wewe. Jiwe alikuwa mwizi sana.Wewe bwege acha uzuzu wako Jiwe hajawahi kuwa waziri wa madini!
Unaumwa si bureRuby yetu ilitoroshwa na magufuli.
Wewe kweli ni mgonjwa!alikuwa waziri wa uchukuzi zezeta wewe. Jiwe alikuwa mwizi sana.
Lushindo lokooRuby yetu ilitoroshwa na magufuli.