Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote wanaondolewa na Maandamano haoTunazidi kuwakumbukusha vijana wa Gen Z kuwa siku Ruto anajiuzulu mjue Katiba inamtaka Naibu Rais Dr Gachagua ndio awe Rais wenu. Hakika hali yenu itakua mbaya kuliko sasa.
Maana huyo Guchuagwa ni mbaya mara 8000 ya Ruto watajuta kuzaliwa KenyaTunazidi kuwakumbukusha vijana wa Gen Z kuwa siku Ruto anajiuzulu mjue Katiba inamtaka Naibu Rais Dr Gachagua ndio awe Rais wenu. Hakika hali yenu itakua mbaya kuliko sasa.
Jamaa Ni balaa maana yeye anajua wakikuyu tuMaana huyo Guchuagwa ni mbaya mara 8000 ya Ruto watajuta kuzaliwa Kenya
wacha tufanye renovation kiasiGen Z.mtulie sasa. Imetosha.
Tayari hukoTunazidi kuwakumbukusha vijana wa Gen Z kuwa siku Ruto anajiuzulu mjue Katiba inamtaka Naibu Rais Dr Gachagua ndio awe Rais wenu. Hakika hali yenu itakua mbaya kuliko sasa.
Kwetu makamu akimloga rais yeye ndiye kiranja mpyaUnaijua katiba ya Kenya? Gachagua atakaimu Kwa siku 90 warudi Kwenye mstari WA kupiga Kura. Sio kama huku kwetu