Kuna mazuri mengi sana ya demokrasia pamoja na kupigwa watu wanaishi pamoja kwa raha na kujali nchi. Raisi wetu imebidi amtume Majaliwa kwasababu ya kuogopa maandamano huko NY. Mwenzake mfano Ruto wiki chache zimepita ameshaingia mkataba tena na German ambao tuna uhusiano nao wa kupeleka wataalamu 250,000 na kuleta pesa za kigeni na ajira kwa vijana.
Anaenda NY kwenye mkutano na kukutana na wawekezaji. Mama yupo Ruvuma anakimbia Chadema ambao wanaandamana kwasababu ya kukosekana kwa ulinzi watu kutekwa na mpaka kuuliwa mchana kweupe.
Ingekuwa rahisi na manufaa ya nchi kama tungekuwa na katiba nzuri na demokrasia na Raisi afanye kazi za maendeleo na sio kupoteza pesa kuibiwa kura na Polisi, usalama wa nchi kuuwa watu badala ya kulinda na kutusaidia kwenye maslahi ya nchi.
Usalama ungetakiwa badala ya kuwashika viongozi wa Chadema wangetakiwa wawe kule Congo na kufikiria jinsi ya kutafuta masoko ya nchi yetu ubalozini usalama wamejazana ndugu tu kule hawaleti chochote cha kuonekana.
Bila katiba mpya na kujipanga kama nchi huu utaratibu wa sasa wa machawa Watanzania wameuchoka.
Anaenda NY kwenye mkutano na kukutana na wawekezaji. Mama yupo Ruvuma anakimbia Chadema ambao wanaandamana kwasababu ya kukosekana kwa ulinzi watu kutekwa na mpaka kuuliwa mchana kweupe.
Ingekuwa rahisi na manufaa ya nchi kama tungekuwa na katiba nzuri na demokrasia na Raisi afanye kazi za maendeleo na sio kupoteza pesa kuibiwa kura na Polisi, usalama wa nchi kuuwa watu badala ya kulinda na kutusaidia kwenye maslahi ya nchi.
Usalama ungetakiwa badala ya kuwashika viongozi wa Chadema wangetakiwa wawe kule Congo na kufikiria jinsi ya kutafuta masoko ya nchi yetu ubalozini usalama wamejazana ndugu tu kule hawaleti chochote cha kuonekana.
Bila katiba mpya na kujipanga kama nchi huu utaratibu wa sasa wa machawa Watanzania wameuchoka.