Ruto anataka Ksh 300b(Trilion 6 Tsh) zipunguzwe kwenye bajeti ya Serikali

Ruto anataka Ksh 300b(Trilion 6 Tsh) zipunguzwe kwenye bajeti ya Serikali

ANAUPIGA MWINGI

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2022
Posts
389
Reaction score
757
Billion 300 za Kenya ni Tsh 6 trilion hizi ni pesa nyingi sana kuziondoa kwenye matumizi ya kawaida ya Serikali. Lalini point yakr ni kwamba hawawezi endelea kukopa kugharamia matumizi ya kawaida ka Chai, semina kununua V8 kununua maua ya offisisini na kadhalika.

Lakini tujiulize Tanzania matumizi ya hii Serikali ukiangalia bajeti inayosomwa Dodoma asilimia kubwa ya Bajeti ni ya kuendesha Serikali na kiasi kidogo ndio kwa ajili ya maendeleo.

Halafu kuna wajinga wanaamini nchi itakuka kupiga hatua za Kimaendeleo kwa kuwa na matumizi makubwa ya kawaida kuliko ya maendeleo.
FB_IMG_1664514371296.jpg
 
Hawa ndio viongozi wanaotakiwa kwa wingi ktk nchi zetu za Kiafrica

Natama nchi yetu tuwe na miongozi kama huyu,

Halafu mpumbavu mmoja Asama JPM hakuwa kiongozi bora na mwenye maono makubwa juu ya Tanzania!

Huo upumbavu ndio umetufikisha kwenye maisha yasiyosomeka juu ya kesho yetu, twaishi kutafutia tumbo? Maisha magumu kama tuko kwenye nchi yenye vita? Serikali kwa kutowajibika namna ya kupunguza ukali wa maisha, wao ndio chanzo kikuu cha kuvunjika kwa ndoa na wanaume kukimbia ndoa zao, hawalioni hilo!?

Serikali inashangaa uwingi wa ndoa kuvunjika? Wakati imekuwa ni taabu wanaume kuhili ugumu wa maisha?

Mlaaniwe wote wafoji vyeti na wauza bangi na mafisadi, pumbavu zenu nyinyi, Mungu awape siku nyingi dunuani zenye wasiwasi na mateso uzeeni

Shenzi kabisa!
 
Unaweza Ku cut budget ikapelekea uchumi kutokukuwa.Mambo ya uchumi ni complicated weka story nzima iliyosababisha Ruto kuchukua uamuzi huo sio unaandika kimbea mbea.
Wewe jamaa vipi kwani?

Kwani wewe unaelewa nini maana ya "recurrent budget spending cut off..?"

Unadhani hizo pesa zikipunguzwa zinapelekwa wapi? Je, unadhani ni kupunguza matumizi ya kawaida na kisha pesa hizo kutupwa shimoni na kuzikwa huko...??

Ngoja tukufundishe uchumi..

Pesa yote inayopunguzwa toka kwenye matumizi ya kawaida (recurrent expenditures) yote inaenda kwenye maeneo ya uzalishaji au kwa lugha rahisi ni, inahamishiwa kwenye miradi ya maendeleo (developmental projects...!!)

Mpaka hapo unataka usomewe habari yote ipi ndiyo uelewe wakati caption pekee yake inatoa picha yote..?
 
Back
Top Bottom