Mgalula MzTz
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 462
- 421
No wonder tunapata mawaziri kama akina mwigulu kwa elimu hizi za kibongo zinazoshindwa kuzalisha watafiti na wabunifu!Na anajiita mchumi[emoji16]
Hata sio lazima tozo ila msikariri huo ujinga,ndio umevuruga masoko ya hisa Uingereza baada ya kuleta sera za kukata matumizi Kwa kisingizio Cha kupunguza gharama za maisha.Umeona eh! Washauri waweke tozo ndio njia pekee ya kupata maendeleo.
Hawa ndo Econometrician sasa sio mtu anabwabwaja tuUnaweza Ku cut budget ikapelekea uchumi kutokukuwa.Mambo ya uchumi ni complicated weka story nzima iliyosababisha Ruto kuchukua uamuzi huo sio unaandika kimbea mbea.
alikutapeli malipo ya huduma gani uliyompa!!!!Mwendakuzimu Jiwe alikuwa anatembea na VXR 90 kwenye Misafara ya Kampeni
Fisadi sana Lile Zee Tapeli
Oh! Kumbe zipo njia zengine za kuleta maendeleo tofauti na hizi tozo.Hata sio lazima tozo ila msikariri huo ujinga,ndio umevuruga masoko ya hisa Uingereza baada ya kuleta sera za kukata matumizi Kwa kisingizio Cha kupunguza gharama za maisha.