johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Siwezi kulala mapema hivi.Bado nashangilia huku nimenyanyua lita ya kihambule juujuu hapa Pembe lwa senga.Shujaa Magufuli japo ametwaliwa yungali anaishi
Mfumo mzima wa aina ya uongozi sasa umechukuliwa na Serikali ya nchi jirani Ili kuwaridhisha Wananchi
Ardhi na Mali ya Umma iliyochukuliwa Kifisadi Leo imerejeshwa serikalini kwa Mfumo wa Magufulication
Credit: Citizen TV
RIP Shujaa Magufuli πΉ
Mlale Unono πππ
Hao waliomshangilia wakitaja Magufuli hawajui wanachoshangilia wamuulize Prof.Assad ππShujaa Magufuli japo ametwaliwa yungali anaishi
Mfumo mzima wa aina ya uongozi sasa umechukuliwa na Serikali ya nchi jirani Ili kuwaridhisha Wananchi
Ardhi na Mali ya Umma iliyochukuliwa Kifisadi Leo imerejeshwa serikalini kwa Mfumo wa Magufulication
Credit: Citizen TV
RIP Shujaa Magufuli πΉ
Mlale Unono πππ
Shujaa Magufuli japo ametwaliwa yungali anaishi
Mfumo mzima wa aina ya uongozi sasa umechukuliwa na Serikali ya nchi jirani Ili kuwaridhisha Wananchi
Ardhi na Mali ya Umma iliyochukuliwa Kifisadi Leo imerejeshwa serikalini kwa Mfumo wa Magufulication
Credit: Citizen TV
RIP Shujaa Magufuli πΉ
Mlale Unono πππ
Kwa nini wamuulize Prof. Asad na Siyo Job Ndugai au Nonsense Prof Mkenda?Hao waliomshangilia wakitaja Magufuli hawajui wanachoshangilia wamuulize Prof.Assad ππ
Prof Assad huyu huyu Jafar? πππHao waliomshangilia wakitaja Magufuli hawajui wanachoshangilia wamuulize Prof.Assad ππ
Assad bado ana kinyongo atawasaidia nini zaidi ya kuonyesha hasira zake kwa mtu aliyekufa.Hao waliomshangilia wakitaja Magufuli hawajui wanachoshangilia wamuulize Prof.Assad ππ
Atawasaidia kujua uhalisia badala ya propaganda walizolishwa.Assad bado ana kinyongo atawasaidia nini zaidi ya kuonyesha hasira zake kwa mtu aliyekufa.
Hao kina Jobo ni wanufaika wa ufisadi wa mfumo wakati ule,Jobo ndio aliyafuna Bilioni 15 eti za matibabu India ππKwa nini wamuulize Prof. Asad na Siyo Job Ndugai au Nonsense Prof Mkenda?
Kwahiyo watu wengine wote wamelishwa propaganda ispokuwa Assad tu? Mkuu hata sasa tunaona yapi ya kweli kwa Samia na yapi ni propaganda ambazo watu kama wewe ndio mmejipa kazi ya kufanya.Atawasaidia kujua uhalisia badala ya propaganda walizolishwa.
Kwani Mimi ni Assad?Kwahiyo watu wengine wote wamelishwa propaganda ispokuwa Assad tu? Mkuu hata sasa tunaona yapi ya kweli kwa Samia na yapi ni propaganda ambazo watu kama wewe ndio mmejipa kazi ya kufanya.
Jafar ndiye aliyepasisha Matumizi ya tsh 1.5 tril ππAtawasaidia kujua uhalisia badala ya propaganda walizolishwa.
Tukifufua posts zako kipindi cha mwendazake utajishangaaKwani Mimi ni Assad?