Ruto asema hatasaini Miswada ya Kifisadi iliyopitishwa na Wabunge Ili kujinufaisha, ashangiliwa Magufuli, Magufuli, Magufuli!

Ruto asema hatasaini Miswada ya Kifisadi iliyopitishwa na Wabunge Ili kujinufaisha, ashangiliwa Magufuli, Magufuli, Magufuli!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Umekimbia Kwa sababu unajua fika kabisa kwamba TRA Sasa imetoka 1.5T/M kuja 2.3T/M ndani ya miaka 3
Kwa maneno ya kisiasa kuwa pato limeongezeka na mkakopa mara dufu?
Kwa hiyo unaweza irwkebisha awamu Yako then baada ya marekebisho yake matunda yasionekane awamu ya 5 ila yaje yaonekane awamu ya 6?
Kwanini hilo lisiwezake?
Mbona umeongea kitoto sana?
Mbona husemi kwamba wawekezaji waliogopa kuweka mitaji awamu ya 5 licha ya hayo marekebisho? Mitaji wameleta baada ya Mama ndio maana unaona Madini inaleta pesa.
Suala la madini kuleta pesa halihusiani na mitaji peke yake.
Sio wawekezaji wakubwa tu ndio waliowekeza,Magufuli aliwainua hadi wachimbaji wadogo wa sekta ya madini.
Unauliza miradi ipi? Kwani miradi aloyoacha Mwendazake Kuna mradi hata mmja haukuwa wa Mkopo? Na hiyo ndio miradi iliyokula pesa nyingi za mikopo maana yote ilikuwa chini ya 40% .

On top of that Kuna utitiri wa miradi sekta zote Wala sihitaji kutaja mmja mmja tutajaza seva manaa mingine inaendelea na mingine imekamilika labda tuangalie matokeo ,mfano kwenye Elimu hakuna tena Watoto kuingia shule Kwa mafungu kama nyanya Kwa sababu hakuna madarasa.

Samia amejenga Vyuo vya Veta Wilaya 64,Mikoa 3 kote huko havikuwepo.

Mfano wa 3,Samia anajenga Vyuo Vikuu Mikoa yote Tanzania Kwa kupanua vilivyokuwepo na kuanzisha Kampasi Mpya kwenye Mikoa 15 ambayo haikuwahi kuwa na Chuo.

Mfano wa 4,Samia anajenga viwanja vya ndege Mikoa 14 ambayo haikuwa na viwanja,kupanua na kukarabati vya zamani eg Sumbawanga,Tabora,Kigoma nk nk

Mfano wa 5,Samia anajenga skimu za Umwagiliaji takribani 750 Nchi nzima Zenye hactares zaidi ya 500k

Mfano wa 6,Samia anajenga Barabara BRT huko Dar,Tactic Miji 14 na Kila Mji Kwa Sasa una lami Kwa sababu Bajeti ya Tarura imeongezwa kutoka 294bpn Hadi 850bln ,nk nk

Hapo sijazungumzia Afya,maji na umeme ambako mapinduzi makubwa yamefanyika na yanaendelea Kufanyika.
Hizi zote sio vital projects za kufanya ukope pesa nyingi.
Hiyo miradi ya Magufuli angekua mwenyewe angeiendeleza pasi na mikopo mingi kama mama yako kizimkazi.
 
Kwa maneno ya kisiasa kuwa pato limeongezeka na mkakopa mara dufu?
Maneno ya Kisiasa ndio maneno gani? Mbona una excuses za kijinga sana? Magu aliyedai hakopi na Akawa anakopa alikuwa anaongea maneno yapi?

Kwanini hilo lisiwezake?
Mbona umeongea kitoto sana?

Suala la madini kuleta pesa halihusiani na mitaji peke yake.
Sio wawekezaji wakubwa tu ndio waliowekeza,Magufuli aliwainua hadi wachimbaji wadogo wa sekta ya madini.
Magu aliwawezeshaje wachimbaji wadogo wakati sijawahi ona akiwagawia hata kitendea kazi kama Samia alivyowapa mitambo na meneo na Sasa anawapelekea umeme huko migodini kwao?

Hizi zote sio vital projects za kufanya ukope pesa nyingi.
Hiyo miradi ya Magufuli angekua mwenyewe angeiendeleza pasi na mikopo mingi kama mama yako kizimkazi.
Sio vital projects? πŸ˜πŸ˜πŸ™„..Magu ange ....kwani hakuwepo Kwa nini hakufanya? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hapo Bado sijagusia Bandari,meli,maji,Kilimo na hata sekta za Utawala na Rasilimali zake.

Magufuli Hadi kuajiri alishindwa anasinbizia Sgr,bwawa na ujinga mwingine.Vyote hivyo Samia amefanya na maelfu ya Ajira Juu.

Mwisho unaujua mradi wa bwawa la Kidunda? Farkwa? Mradi wa Maji Miji 28? Bandari ya Kilwa? Au basi utapasuka Kwa wivuπŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/DAAU5d_oXY9/?igsh=YWprMnNjamo1Nmpm
 
Back
Top Bottom