johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Uhuru upi? š¼Waisilamu Tanzania ndiyo walioleta uhuru Tanganyika bila wao uhuru ungechelewa. BAKWATA (BARAZA KUU LA WAISLAMU TANZANIA ) ni taasisi iliyoundwa na serikali hivyo ni mdau mkubwa kwa amani na utulivu wa nchi.