Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Apumzike ili iweje wakati yeye ndio alikuwa kinatra wa kuingilia mihimili mingine? Wanasiasa wangapi wa upinzani walifungwa jela kwa amri zake?Hopele kabisa.Safi kabisa....tabia ya kuchekeana ni very irritating..
We miss you JPM.
Pumzika kwa amani mwamba.
Mmmhh!!!2024
Ngoja tuoneSio kwa Kenya!! Kamwe hawezi kuwa juu ya mahakama, wale sio misukule, kama hapa.
Huyu ananikumbusha chama fulani cha siasa. Mahakama ikiamua ni favor ya kesi zao haki imetendeka isipokuwa hivyo mahakama sio huru.Wakishinda uchaguzi husikii kelele za tume ya uchaguzi wakishindwa tume sio huru.Ila hiyo mahakama ilipompa ushindi wa urais haikuwa shida. Mnafiki huyo.
Hiyo nayo ni siasa piaDr Ruto amewaambia live Majaji kwamba wao ni Wala Rushwa wakubwa na wanaendeshwa na Wanasiasa
Rais Ruto ni kama amerudia kauli ya Mwanasiasa Maarufu nchini na Africa Mashariki Rostam Aziz kwamba Majaji huamua kwa Rushwa na kupigiwa Simu Moja tu
Ruto amemtaka Katibu mkuu wa Ujenzi kuendelea na Ujenzi wa barabara pamoja na Uwepo wa Zuio la mahakama, Ruto amesema Wananchi ndio mahakama ya Haki
Source: Citizen TV
Kwa hiyo imeandikwa na nani? Shida yako wewe unashindwaga kunielewa kutokana na kujenga mtizamo hasi juu yangu na hivyo kujipa ukipofu kwa chochote nitakacho kiandika humu unaona kibaya na hakifai na ni uchawa tu.Hivi Comment hii kweli imeandikwa na Lucas Mwashamba ninayemfahamu au simu yake leo amemuachia mtu mwingine??????????!!!!!!!!!!!!!???
Za kuambiwa changanya na za kwako.Si tunaambiwa wana katiba nzuri, haijawai kutokea
Jizi na muuaji katili, liendelee kuteseka kwa damu zisizo na hatia lilizomwagaSafi kabisa....tabia ya kuchekeana ni very irritating..
We miss you JPM.
Pumzika kwa amani mwamba.
Hakumu wa Mahakama ya MwanzoSasa hapo anaonyesha mfano mbaya kwa Taifa lake.maana kushindwa kuheshimu na kuamini mahakama za nchini mwake anatoa mwanya kwa watu wengi zaidi na maafisa wengi zaidi wa serikali yake na matajiri wengi na wenye pesa zao kufanya maamuzi bila hofu wala uoga kwa kutambua kuwa hata hukumu ikitoka basi hawataiheshimu .
Lakini pia hakuna muwekezaji anayeweza kupenda kuwekeza mahali ambapo mihimili kama mahakama haiheshimiwi.kauli hiyo maana yake inawakimbiza wawekezaji na kuwakosesha imani kwa mifumo ya ndani ya utoaji haki kama vile mahakama. maana yake anataka yeye ndiye kuwa mahakama mwenyewe na muamuzi mwenyewe.jambo ambalo kwa wenye akili hawawezi kuliunga mkono maana anataka kuendesha nchi kibabe kama nyampara.
Pia kauli hiyo inaweza kuchochea Vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu na kujichukulia sheria mkononi kwa wananchi kwa kutambua kuwa maamuzi ya mahakama hayaheshimiwi na yanaweza kupuuzwa na kutupiliwa mbali na hivyo dawa ni kumalizana tu.
Kama anaona wananchi ndio watoa haki basi asimamishe mfumo wa mahakama ili kesi zote na mashitaka yote yawe yanapelekwa kwa wananchi wasio juwa hata vifungu vya sheria.lakini pia kauli hiyo ni shambulizi dhidi ya mahakama na mifumo yote ya utoaji haki.
Lakini pia kauli hiyo itawaumiza zaidi wanyonge na maskini kwa kukosa kimbilio la kupata haki zao,hasa pale kesi inapokuwa inawahusu wakubwa na wenye pesa zao au matajiri kwa kuwa watazichezea na kuzidharau hukumu na amri za mahakama na hivyo kuwafanya masikini kuishi kwa kukata Tamaa huku mioyo yao ikiwa inabubujikwa na machozi kwa kukosa mahali pa kukimbilia.jambo Ambalo Ni la hatari sana kwa usalama wa Taifa na utulivu maana watu wanaweza kuingia barabarani kwa kujitoa mhanga bila uoga kwa kusema bora kifo cha heshima cha kupigania haki zao kuliko kuishi kwa mateso ya kuonewa na kudhulumiwa haki zao.
Kabisa mkuuZa kuambiwa changanya na za kwako.
Hivi Nyumba moja inakuwaje na ma baba wawili!? Baba mmoja akitoa amri hii kwa watoto, hapo hapo baba mwingine tena anakuja kutengeua amri ya baba wa kwanza, sasa hiyo nyumba mwisho wa siku lazima itakosa msimamo thabiti! Amiri Jeshi Mkuu apewe heshima zake kama Mkuu wa Nchi na siyo kuingiliwa kwenye maamuzi yake!!Asijidanganye, anaweza akawajibishwa kisheria na inaweza ikamgharimu yeye mwenyewe binafsi pamoja na Urais wake. Katiba ya Kenya ni nzuri, hairuhusu huo Udikteta wake anaotaka kuufanya.
Nchi ya Kenya kwa Katiba yake ile siyo "Banana Republic" kama ilivyo kwa nchi ya Tanzania. Kwa Kenya, Rais siyo 'Mungu' kama ilivyo kwa Tz.Hivi Nyumba moja inakuwaje na ma baba wawili!? Baba mmoja akitoa amri hii kwa watoto, hapo hapo baba mwingine tena anakuja kutengeua amri ya baba wa kwanza, sasa hiyo nyumba mwisho wa siku lazima itakosa msimamo thabiti! Amiri Jeshi Mkuu apewe heshima zake kama Mkuu wa Nchi na siyo kuingiliwa kwenye maamuzi yake!!