Ruto kaachiwa jumba bovu

Ruto kaachiwa jumba bovu

-Kama Deni la Nchi limefikia 70% ya GDP ya nchi yake

-Nchi imefika Ukomo wa kukopa kulingana na viwango vilivyowekwa na vyombo vya uchumi( IFM) yani Deni limeexceed 50% ya GDP

-Njia ya Dharura ni Kuifinance GVT TAXATION

-Jarbu kuvaa viatu vya RUTO Kama mkuu wa Nchi
Ungefanyaje.
Wakiwa kwenye kampeni wanawaza starehe na kuiba tu. Wanawadanganya wapiga kura eti wataleta pepo duniani

Angalizo kwa lissu asithubuti wapa ahadi hewa vijana na atamani kile kiti kwa Nia ya kuwatumikia watu siyo kuiba kamaruto

Ccm wamefika mwisho, watajifanya waungwana wamwachie mpinzani jumba bovu kama ruto. umakini unatakiwa
 
Kenyatta muhuni sana
Kenyatta mshenzi sana. Eti amesema I stand with you" akiwaambia waandamanaji. How can president stand with looters. Halafu hapohapo anasema pande mbili zikutane ziongee? Which pande? Yaani huyu jamaa aliona kwao hakuna tena mtu wa siasa na kuwa raisi ameharibu halafu akataka msala uje umuangukie Mjaluo Raila bahati nzuri Mungu siyo Mzee Juma uraisi kapata mwingine anampa tabu Ruto wa watu
 
Kenyatta mshenzi sana. Eti amesema I stand with you" akiwaambia waandamanaji. How can president stand with looters. Halafu hapohapo anasema pande mbili zikutane ziongee? Which pande? Yaani huyu jamaa aliona kwako hakuna tena mtu wa siasa na kuwa raisi ameharibu halafu akataka msala uje umuangukie Mjaluo Raila bahati nzuri Mungu siyo Mzee Juma uraisi kapata mwingine anampa tabu Tuto wa watu
I stand with you mkuu

Yale ma mikopo aliyokuwa kila siku siku anakopa tulijua ni swala la muda tu ajaye shughuli anayo

Kenyatta kawauza wakenya pakubwa sana

Hata huku kwetu hii mikopo yetu tunayokopa ipo siku ajaye ataona
 
-Kama Deni la Nchi limefikia 70% ya GDP ya nchi yake

-Nchi imefika Ukomo wa kukopa kulingana na viwango vilivyowekwa na vyombo vya uchumi( IFM) yani Deni limeexceed 50% ya GDP

-Njia ya Dharura ni Kuifinance GVT TAXATION

-Jarbu kuvaa viatu vya RUTO Kama mkuu wa Nchi
Ungefanyaje.
Kwani sisi la kwetu halijafika hapo mkuu?
 
Kenyatta mshenzi sana. Eti amesema I stand with you" akiwaambia waandamanaji. How can president stand with looters. Halafu hapohapo anasema pande mbili zikutane ziongee? Which pande? Yaani huyu jamaa aliona kwao hakuna tena mtu wa siasa na kuwa raisi ameharibu halafu akataka msala uje umuangukie Mjaluo Raila bahati nzuri Mungu siyo Mzee Juma uraisi kapata mwingine anampa tabu Ruto wa watu
Uhuru Kenyatta is very happy on what is going on in Kenya 🐒

aliwahi kusema na kusisitiza mara kadhaa kwamba Rais wake ni Raila Odinga na si vinginevyo.

Lakini kumbuka pia vijana hawa hawa, ikasemekana wanapewa nguvu na wakiwa nyuma ya naibu wa Rais wa sasa ndugu RigG, walichochewa kuvamia shamba la Uhuru Kenyatta, kuharibu mazao, kuiba na kupora mali mbalimbali kama vile kondoo, mbuzi, bata, kuku n.k mali ya familia ya Uhuru kwahivyo kinachotokea ni kama vile anafurahi,

na angependelea mambo yaende zaidi yalivyo, ilikusudi mali na biashara za Ruto nazo zifikiwe, ziporwe na kuharibiwa zaidi kama vijana walivyofanya kwake 🐒
 
-Kama Deni la Nchi limefikia 70% ya GDP ya nchi yake

-Nchi imefika Ukomo wa kukopa kulingana na viwango vilivyowekwa na vyombo vya uchumi( IFM) yani Deni limeexceed 50% ya GDP

-Njia ya Dharura ni Kuifinance GVT TAXATION

-Jarbu kuvaa viatu vya RUTO Kama mkuu wa Nchi
Ungefanyaje.

Uongozi ni jalala la lawama
 
Huwezi ongoza nchi kwa aman ikiwa rais mstaafu hauelewani nae hata yule bwana yalimkuta hayohayo kule cuba kujifanya kukaza fuvu

Lakini ruto mchezo anauelewa ngoja tuone japo ana kibarua kizito maana kwa sasa hata naibu wake anaucheki mchezo kwa mbali hatii neno
 
-Kama Deni la Nchi limefikia 70% ya GDP ya nchi yake

-Nchi imefika Ukomo wa kukopa kulingana na viwango vilivyowekwa na vyombo vya uchumi( IFM) yani Deni limeexceed 50% ya GDP

-Njia ya Dharura ni Kuifinance GVT TAXATION

-Jarbu kuvaa viatu vya RUTO Kama mkuu wa Nchi
Ungefanyaje.
Wakati anagombea urais alijua maana alikuwa makamu wa rais. Kwa hiyo apambane na hali yake.

Vv
 
Atapewa financial support na bro ake Mr. Biden (kama wana US watamruhusu aongoze tena).
Atakamua Wakenya mpaka 'watoe damu'. Mr. Hichilema amewafanyia Zambians hivyo.
Atauza rasilimali zilizobaki kwa wakubwa kama wafanyavyo viongozi wengi wa Afrika.
Sitarajii kama atajipuzia matumizi
 
Back
Top Bottom