Wakiwa kwenye kampeni wanawaza starehe na kuiba tu. Wanawadanganya wapiga kura eti wataleta pepo duniani-Kama Deni la Nchi limefikia 70% ya GDP ya nchi yake
-Nchi imefika Ukomo wa kukopa kulingana na viwango vilivyowekwa na vyombo vya uchumi( IFM) yani Deni limeexceed 50% ya GDP
-Njia ya Dharura ni Kuifinance GVT TAXATION
-Jarbu kuvaa viatu vya RUTO Kama mkuu wa Nchi
Ungefanyaje.
Kenyatta mshenzi sana. Eti amesema I stand with you" akiwaambia waandamanaji. How can president stand with looters. Halafu hapohapo anasema pande mbili zikutane ziongee? Which pande? Yaani huyu jamaa aliona kwao hakuna tena mtu wa siasa na kuwa raisi ameharibu halafu akataka msala uje umuangukie Mjaluo Raila bahati nzuri Mungu siyo Mzee Juma uraisi kapata mwingine anampa tabu Ruto wa watuKenyatta muhuni sana
Aoneshe mfano kwa kupunguza matumizi ya hovyo, sasa unawakamua wananchi wakati bado serikali inanunua mashangingi, matumizi ya hovyo hovyo unategemea nani atamuelewa?Ruto yuko sawa. Yeye anaataka deni wanalodaiwa lipungue na ili lipungue sharti wananchi walipe kodi. Yuko sawa kabisa.
I stand with you mkuuKenyatta mshenzi sana. Eti amesema I stand with you" akiwaambia waandamanaji. How can president stand with looters. Halafu hapohapo anasema pande mbili zikutane ziongee? Which pande? Yaani huyu jamaa aliona kwako hakuna tena mtu wa siasa na kuwa raisi ameharibu halafu akataka msala uje umuangukie Mjaluo Raila bahati nzuri Mungu siyo Mzee Juma uraisi kapata mwingine anampa tabu Tuto wa watu
Kwani sisi la kwetu halijafika hapo mkuu?-Kama Deni la Nchi limefikia 70% ya GDP ya nchi yake
-Nchi imefika Ukomo wa kukopa kulingana na viwango vilivyowekwa na vyombo vya uchumi( IFM) yani Deni limeexceed 50% ya GDP
-Njia ya Dharura ni Kuifinance GVT TAXATION
-Jarbu kuvaa viatu vya RUTO Kama mkuu wa Nchi
Ungefanyaje.
Akishajiuzulu atakayekuja atafanyaje?Alafu viongozi wenzake wamemgeuka yaani ni kama wamemuacha peke yake tu!
Kama vijana watakaza zaidi wanaweza kumuondoa kwa shinikizo la kumtaka ajiuzuru..
Na wakati huo kuna wapumbavu wanaendelea kula kwa urefu wa kamba wanasomwa kwenye taarifa ya CAG kila mwakaMiki najiuliza, hizi pesa wanapeleka wapi wakati tunaambiwa miradi kama SGR imekwama kwa kukosa pesa?
acha upotoshaji gentleman 🐒Alikua makamu wa Raisi kila kitu alikijua tamaa yake ya madaraka ndio inamtokea puani lakini hata huku yawezekana kabla hata ya uchaguzi wa mwakani chura kiziwi akawa amepita kiwango cha kukopa na hakuna cha msingi anacho fanya
Uhuru Kenyatta is very happy on what is going on in Kenya 🐒Kenyatta mshenzi sana. Eti amesema I stand with you" akiwaambia waandamanaji. How can president stand with looters. Halafu hapohapo anasema pande mbili zikutane ziongee? Which pande? Yaani huyu jamaa aliona kwao hakuna tena mtu wa siasa na kuwa raisi ameharibu halafu akataka msala uje umuangukie Mjaluo Raila bahati nzuri Mungu siyo Mzee Juma uraisi kapata mwingine anampa tabu Ruto wa watu
-Kama Deni la Nchi limefikia 70% ya GDP ya nchi yake
-Nchi imefika Ukomo wa kukopa kulingana na viwango vilivyowekwa na vyombo vya uchumi( IFM) yani Deni limeexceed 50% ya GDP
-Njia ya Dharura ni Kuifinance GVT TAXATION
-Jarbu kuvaa viatu vya RUTO Kama mkuu wa Nchi
Ungefanyaje.
TZ mkipanga maandamano na kesho linaingia barabarani kufanya mazoezi. Wakenya hawako hivo. Namaanisha kwetu hatuwezi kuandamana tutaumizwa sana.Kilichotokea Kenya kikitokea na hapa kwetu! Naamini kitaleta funzo kubwa sana kwa hawa watawala wetu wajivuni na wenye dharau iliyopitiliza kwa wananchi.
mwenzake yupo msoga anakula mema ya nchi, hukuona magu alivyoingia alivyopagawa mpaka akatishia kubadili fedhaKenyatta muhuni sana
Wakati anagombea urais alijua maana alikuwa makamu wa rais. Kwa hiyo apambane na hali yake.-Kama Deni la Nchi limefikia 70% ya GDP ya nchi yake
-Nchi imefika Ukomo wa kukopa kulingana na viwango vilivyowekwa na vyombo vya uchumi( IFM) yani Deni limeexceed 50% ya GDP
-Njia ya Dharura ni Kuifinance GVT TAXATION
-Jarbu kuvaa viatu vya RUTO Kama mkuu wa Nchi
Ungefanyaje.
Jamaa ndio alizingua hapa kirahisi rahisi kaubeba msalaba wa kenyattamwenzake yupo msoga anakula mema ya nchi, hukuona magu alivyoingia alivyopagawa mpaka akatishia kubadili fedha
Alitaka kuandika historiaKwanini aligombea? Kama aliyajua hayo si angeachana nayo