Ruto kupeleka bungeni Jina la Naibu Rais Leo, tetesi ni kwamba atakuwa Kutoka Mombasa Ili kubalance Dini!

Aahaaaa

Eti half term deputy president
 
Haijalishi kwangu. Sina haja ya umbea wa jirani anafanya nini.

Ya nyumbani kwangu Tanzania sijayakamilisha.
Tanzania ni Nchi ya amani Hatuna mawenge

2030 ni David Kafulila 😀 au yule Rais wa Mabunge ya Dunia mh Dr Tulia PhD 🌹
 
🤔🤔🤔🤔
 
Wasije wakachagua Msomali kwa kigezo cha Uislamu!
Anyway ukiondoa Ukabila Kenya wako smart sana!
Katiba ndiyo inaamua.
 
Hoja za kudai chadema ni ya wachaga ni hoja ya hovyo kabisaa katika ulimwengu wa ushindani wa kisiasa
Ni kweli CHADEMA siyo ya Wachagga, bali ni ya Freeman Mbowe akimuwakilisha mkwewe Edwin Mtei. Hao akina Mnyika, Heche, Lissu ni kama braidmaids tu wa kwenye harusi (wapambe)

Kachukue fomu ya kugombea uwenyekiti wa CDM ndiyo utanielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…