Kenya 2022 Ruto: Kura zinapigwa ili kujua matakwa ya watu lakini uamuzi wa mshindi hufanywa na Mungu(Mithali 16:33)

Kenya 2022 General Election
So mkuu una maana Mungu anatetea wanyonge pekee? So matajiri hawana mtetezi?
Matajiri wanaweza kujitetea wenyewe kwa pesa zao (na mara nyingi wanafanya hivyo) ila makapuku hawana pa kukimbilia, huishia kusema tu "Mungu anakuona"
 
Duh [emoji849][emoji848]
 
Makubwa
[emoji848][emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…