Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Jisaidie ulale mkuuWapi mm nimesema hivyo? Umejishtukia, siyo?
Matajiri wanaweza kujitetea wenyewe kwa pesa zao (na mara nyingi wanafanya hivyo) ila makapuku hawana pa kukimbilia, huishia kusema tu "Mungu anakuona"So mkuu una maana Mungu anatetea wanyonge pekee? So matajiri hawana mtetezi?
Duh [emoji849][emoji848]Ni mwizi mkuu huyu! Kumchagua Ruto itathibitisha kuwa Kenya limekuwa taifa la wezi. Huyu ni land grabber na muuaji. Kikuyu mafias wajiandae au wakimbie nchi. Huyu atataka kuweka tabaka la Wakalenjin kwenye tabaka la wezi wenzie.
Jamaa ni mwisho wa maneno kwenye fitna ya kujipatia pochi.
- Huyu ndiye aliyesingizia mahindi ya Tanzania na Uganda yana sumu kuvu(aflatoxin) ili auze mahindi yake aliyolimia huko DRC.
Tz mjiandae na majirani wengine!
MakubwaIblis hana ubaya alikuwa anaitwa baba wa kusujudu ila mungu alitaka kumdhihaki na kumdhalilisha mbele ya Adam kumwambia amsujudie wakati iblis ni mwema vitabu vitakatifu vinaonyesha iblis hajawahi kuuwa iblis hajawahi kudhulumu mtu wala hana ushirika wowote zaidi ya kukataaa kumsujudia binadam ambae anamadhambi kIbao kama kuua kudhulumu kusema uongo hata ungekuwa ww utakubali kumsujudia mtu muovu?