Ruto: Kwenye demokrasia, Maandamano ni jambo la kawaida

Ruto: Kwenye demokrasia, Maandamano ni jambo la kawaida

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Hii clip inajieleza wazi:



Tanzania itajifunza lini kuuhusu ukweli huu?

Kwanini Kila mtu asipewe haki yake?

Kwanini kujipanga kupora haki za wengine?

Kulikoni kujipanga kuchuma laana?

Uporaji ni laana!
 
Back
Top Bottom