Ruto: Mahakama ya Arusha inaniyumbisha, Waamue kuruhusu kuwafurusha Jamii ya Mau Forest au Kenya ijitoe uanachama

Ruto: Mahakama ya Arusha inaniyumbisha, Waamue kuruhusu kuwafurusha Jamii ya Mau Forest au Kenya ijitoe uanachama

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Hayo ni maneno ya William Ruto Rais wa Kenya akitishia kujitoa kuwa Mwanachama wa Mahakama ya Haki za binadamu ya Afrika -Arusha.

Chanzo Cha vitisho hivyo vya Ruto ni sakata la Mahakama hiyo kuamuru na kuzuia kufurushwa Kwa watu wa jamii ya Ogir wanaoishi kwenye msitu wa Mau ambapo Kenya inadai wanaharibu Mazingira na inataka kuwatoa.

Jamii hiyo ilifungua kesi hapo Arusha kuzuia Serikali ya Ruto Kuwafurusha kwenye Ardhi Yao ya Asili

Swali.
Kuna haja gani ya kuwa na mahakama ikiwa Nchi Zina uhuru wa kujiunga na kujiondoa?

--

Kenyan President William Ruto this week threatened to pull the country out of the Arusha-based African Court on People’s and Human Rights (ACPHR) over the pressure by residents of a part of the Rift Valley region to be allowed to occupy forest land despite caveats blocking such use.

A minority community, Ogiek, claim the Mau Forest as their ancestral land, a position the African Court entrenched in a decision in 2017, after which political and legal tussles ensued, impacting land registration and development in the region.

On Monday, while addressing the public in Kuresoi, Nakuru County in the Central Rift, the matter came up and the President expressed his frustration with the orders from the continental court restricting the use of the land.

“There is a court in Arusha. They have been taking me in circles, but I have told them they have two options: Either they lift the caveat, or we withdraw membership from that court,” the Kenyan leader said.

Source: Why it’s not so easy for Kenya to quit African Court
 
[QUOTE="ChoiceVariable, post: 50853886,

On Monday, while addressing the public in Kuresoi, Nakuru County in the Central Rift, the matter came up and the President expressed his frustration with the orders from the continental court restricting the use of the land.

“There is a court in Arusha. They have been taking me in circles, but I have told them they have two options: Either they lift the caveat, or we withdraw membership from that court,” the Kenyan leader said.

Source: Why it’s not so easy for Kenya to quit African Court
[/QUOTE] hata huelewi chenye unapost Bora upost tu?
 
Hayo ni maneno ya William Ruto Rais wa Kenya akitishia kujitoa kuwa Mwanachama wa Mahakama ya Haki za binadamu ya Afrika -Arusha.

Chanzo Cha vitisho hivyo vya Ruto ni sakata la Mahakama hiyo kuamuru na kuzuia kufurushwa Kwa watu wa jamii ya Ogir wanaoishi kwenye msitu wa Mau ambapo Kenya inadai wanaharibu Mazingira na inataka kuwatoa.

Jamii hiyo ilifungua kesi hapo Arusha kuzuia Serikali ya Ruto Kuwafurusha kwenye Ardhi Yao ya Asili

Swali.
Kuna haja gani ya kuwa na mahakama ikiwa Nchi Zina uhuru wa kujiunga na kujiondoa?

--

Kenyan President William Ruto this week threatened to pull the country out of the Arusha-based African Court on People’s and Human Rights (ACPHR) over the pressure by residents of a part of the Rift Valley region to be allowed to occupy forest land despite caveats blocking such use.

A minority community, Ogiek, claim the Mau Forest as their ancestral land, a position the African Court entrenched in a decision in 2017, after which political and legal tussles ensued, impacting land registration and development in the region.

On Monday, while addressing the public in Kuresoi, Nakuru County in the Central Rift, the matter came up and the President expressed his frustration with the orders from the continental court restricting the use of the land.

“There is a court in Arusha. They have been taking me in circles, but I have told them they have two options: Either they lift the caveat, or we withdraw membership from that court,” the Kenyan leader said.

Source: Why it’s not so easy for Kenya to quit African Court

Rekebisha kichwa cha habari. Hiyo haiitwi mahakama ya Arusha. Bali ni mahakama ya Afrika.
 
Back
Top Bottom