Ruto ni bora kuliko Raila

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Siyo mkenya wala sizisijui sana Siasa za Kenya.

Lakini Leo wakati namsikiliza Rais William Ruto akizungumzia mfuko wa Jimbo (CDF) nimepata hisia kwamba yeye ni bora zaidi kuliko labda Raila Odinga kama angekuwa Rais.

Uwezo wake wa kusema ukweli mbele ya wabunge nimeupenda sana.

Anajieleza vizuri na anaweka mkazo panapostahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…