Ruto: Nitabadilisha Sheria ili Mawaziri wawe wanaingia Bungeni na kuelezea hoja za Serikali na kujibu maswali ya Wabunge

Ruto: Nitabadilisha Sheria ili Mawaziri wawe wanaingia Bungeni na kuelezea hoja za Serikali na kujibu maswali ya Wabunge

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais mteule wa Kenya Dkt. Ruto amesema atabadilisha sheria ili Mawaziri wawe wanaingia Bungeni na kuelezea hoja za serikali na Kujibu maswali ya Wabunge

Ruto alikuwa anaongea na washindi wa muunganiko wa Kenya Kwanza

Chanzo: Citizen tv
 
Rais mteule wa Kenya Dkt. Ruto amesema atabadilisha sheria ili Mawaziri wawe wanaingia Bungeni na kuelezea hoja za serikali na Kujibu maswali ya Wabunge

Ruto alikuwa anaongea na washindi wa muunganiko wa Kenya Kwanza

Chanzo: Citizen tv
Kiongozi hapaswi kusema "NITA" badala yake aseme Tuta...
Nita maana yake maamuzi na utashi waka=udikteta.
 
Back
Top Bottom