Ruto: Sitakuwa Rais Dikteta

Ruto: Sitakuwa Rais Dikteta

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Rais William Ruto akanusha kwenye runinga madai kuwa atatawala Kenya kiimla kutokana na jinsi baadhi ya watu wa nchi hiyo, hasa waliokuwa wakipinga juhudi zake za kuwa Rais wanavyodhania.

Asema ataongoza taifa bila kisasi na kuepuka matumizi ya mabavu.

E0842961-DADD-460A-A97F-4E2DE556D7F6.jpeg
 
Back
Top Bottom